MORE2015
Senior Member
- Jul 31, 2015
- 179
- 67
Ebu tujiulize ccm iliyo kuwa ikimtuhumu Dr Slaa kuwa anapotosha umma pale alipo zungumza swala la Richmond na maswala mengine ya ufisadi ikiwemo meremeta, escrow, n.k na kudai kuwa ana ushahidi.
Aliye kuwa katibu mkuu wa serekali Philemon luhanjo alisema kuwa Dr slaa ni mpotoshaji na ushihidi alio nao niwakugushi. Sasa leo Dr slaa kaja kwenye media akirudia Yale Yale aliyo wahi kuzungumza na ushahidi ulele ambo sasa umegeuka kuwa wa kweli gafla.
Sasa mi napata mkangajiko hapa maana YAKE ni nn??
Wote mtakumbuka kuwa hela za escrow serekali ilidai kuwa sio za umma. Alakini endopo watuhumiwa watahama na kujs upinzani sitoshangaa ccm wakasema hela za escrow zilizo tilewa BOT zilikuwa za umma
Aliye kuwa katibu mkuu wa serekali Philemon luhanjo alisema kuwa Dr slaa ni mpotoshaji na ushihidi alio nao niwakugushi. Sasa leo Dr slaa kaja kwenye media akirudia Yale Yale aliyo wahi kuzungumza na ushahidi ulele ambo sasa umegeuka kuwa wa kweli gafla.
Sasa mi napata mkangajiko hapa maana YAKE ni nn??
Wote mtakumbuka kuwa hela za escrow serekali ilidai kuwa sio za umma. Alakini endopo watuhumiwa watahama na kujs upinzani sitoshangaa ccm wakasema hela za escrow zilizo tilewa BOT zilikuwa za umma