Baba akiwa dhaifu kwenye familia ni shidaaaa,wewe uliona wapi mwenyekiti anaingia na viongozi wakuu katika chama mkutanoni, ndio kwanza wajumbe wanaimba wanaimani na mtia nia,hapo tu ni wazi nidhamu kwishenei yaani hajawahi tokea mwenyekiti wa chama dhaifu kama huyo na hapo hayo makundi yenye visasi bado yapo chama chaweza mfia mikononi.