Ndugu wana jamii nimekuwa nashangazwa sana na kilio cha ccm kuhusu ukabila make wamekuwa wanawambia cdm kuwa wana ukabila. Kiukweli mi nakanusha sana kwa sababu zifuatazo:
- heche ambaye ni mwenyekiti wa bavicha si mtu wa kaskazini ni mkura wa tarime na nimesoma nae a-level.
- zitto ni wa wapi kweli?( jibu kwa wanaccm tu) ni naibu k/ mkuu.
- arfi ambaye ni makamu m/kiti ni wapi kweli?