opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 9
Hiki chama CCM ni chama cha kuogopwa kama ukoma.Hivi Lowasa na Mkapa wanataka kuwaambia nini wana Arumeru?Huyu Lowassa alikuwa na kashfa nzito alipokuwa waziri mkuu.Haoni aibu kusimama jukwaani na kuongea upuuzi?
Wana Arumeru mpuuzieni fisadi mkubwa huyu hana jipya.Kura zote kwa CHADEMA.Nasari anafaa kuwa mbunge.
Wana Arumeru mpuuzieni fisadi mkubwa huyu hana jipya.Kura zote kwa CHADEMA.Nasari anafaa kuwa mbunge.