Baba Hellen
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 763
- 91
chama cha mapinduzi hakijitambui wala kujielewa maskini. Hata uwashauri gamba ni gamba waelimishe watanzania kumi kila siku tuwakomboe kutoka katika mkoloni mweusi.NIMEANZA KAZI SITACHOKA HADI KIELEWEKE.