mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
Tanzania ni miongoni mwana nchi tajiri kwa amani na utulivu, lakini kwa sasa
hali inaoneka kuwa sio nzuri kutoka na msuguwano wa kisiasa kati ya chama
tawala ccm na chama pinzani chadema.
ccm wanasema chadema ni wachochezi, waloho wa madaraka pia ni chama
cha watu wa kaskazini husani mkoa wa kilimangaro,
chadema wao wanadai ccm wamezidi wizi wa mali za umma (ufisadi) na hawatufai
wameongoza kwa miaka 50 hakuna cha maana chochote walichokwensha fanya mpaka sasa
ukirudi kwenye hoja ya ccm kwamba chadema ni wachochote na kuinyumbulisha kwa undani
unaweza kuibuka na mashwali kadha wa kadha
mfano
chadema ni wachochozi kwa mwelekeo upi? kuikomboa jamii au kuiangamiza? kwa maana
hata baba wa taifa haliwai kuwa mchochozi wakati wa harakati za ukombozi kutoka kwa mkoloni, mimi
ninsvyojua uchechozi ni kushawishi upande wako kukubaliwa na mwingine kuchukiwa na ili sio tatizo kabisa,
kwa maana hiyo basi ccm wanatakiwa kujua kama serikali inakosea basi kukosolewa ni democrasia
na wala hawapashwi kupiga kelele wala kuchagulia watu njia watakazotumia kuwapinga. ila wanatakiwa kuunga mkono ili kulinda masilahi ya taifa, maana uchechozi wowote unatoka na madudu wanayofanya viongozi wa serikali yake au waliyofanya huko nyuma
Pia ukija kwenye hoja ya chadema kwamba ccm ni mafisadi na watumiaji vibaya pesa za umma,
nadhani ili liko wazi na zaidi na ukweli wake sio wa kutafuta hata ,hali ya mtanznia ni ngumu na mawaziri na viongozi wengine wa ngazi za juu serikani wanaishi kama peponi kwa kutumia pesa ya umma, hakuna anayeshituka jinsi huduma za umma zinavyotolewa wala jinsi makampuni binafsi yanavyowaibia wananchi
wazi wazi mchana kweupe. mfano bei ya sukari kupanda kwa sababu viwanda vimeficha sukari kwenye
maghala yao kwa makusudi tu.
hii hoya ni ya msingi lakini je chadema wana hakika gani kama ya mwembe chai au Arusha hayatajirudia tena?
maana damu za watanzania umwagwa kila siku na police bia sababu.
lakini ni kwa nini wasiwashitaki ccm kimataifa na kuwaelimisha wananchi
umuhimu wa kura zao katika kuleta maendele, wakati wa uchaguzi wasimamishe wagombea wanaokubalika zaidi kwa wananchi na kwenye chama
ndipo hoja na shwali la msingi ccm na chadema mnatupeleka wapi? je kuna anayejua kati yenu haya maandaki mnayoyachimba miyoni mwa wanatanzania yatafukiwa vipi? na hapa nina maana ya dhiki au kuchukiana wao kwa wao kwa kufuata vyama
ccm kwa nini damu zinamwagika kwa visingizio vya juu juu tu? na chadema kwa nini msilekebishe harakati
zenu kuokoa maisha yanayopotezwa na police wasio na huruma kila siku
naomba kuwakilisha
mdao
source www.lifeofmshaba.com
hali inaoneka kuwa sio nzuri kutoka na msuguwano wa kisiasa kati ya chama
tawala ccm na chama pinzani chadema.
ccm wanasema chadema ni wachochezi, waloho wa madaraka pia ni chama
cha watu wa kaskazini husani mkoa wa kilimangaro,
chadema wao wanadai ccm wamezidi wizi wa mali za umma (ufisadi) na hawatufai
wameongoza kwa miaka 50 hakuna cha maana chochote walichokwensha fanya mpaka sasa
ukirudi kwenye hoja ya ccm kwamba chadema ni wachochote na kuinyumbulisha kwa undani
unaweza kuibuka na mashwali kadha wa kadha
mfano
chadema ni wachochozi kwa mwelekeo upi? kuikomboa jamii au kuiangamiza? kwa maana
hata baba wa taifa haliwai kuwa mchochozi wakati wa harakati za ukombozi kutoka kwa mkoloni, mimi
ninsvyojua uchechozi ni kushawishi upande wako kukubaliwa na mwingine kuchukiwa na ili sio tatizo kabisa,
kwa maana hiyo basi ccm wanatakiwa kujua kama serikali inakosea basi kukosolewa ni democrasia
na wala hawapashwi kupiga kelele wala kuchagulia watu njia watakazotumia kuwapinga. ila wanatakiwa kuunga mkono ili kulinda masilahi ya taifa, maana uchechozi wowote unatoka na madudu wanayofanya viongozi wa serikali yake au waliyofanya huko nyuma
Pia ukija kwenye hoja ya chadema kwamba ccm ni mafisadi na watumiaji vibaya pesa za umma,
nadhani ili liko wazi na zaidi na ukweli wake sio wa kutafuta hata ,hali ya mtanznia ni ngumu na mawaziri na viongozi wengine wa ngazi za juu serikani wanaishi kama peponi kwa kutumia pesa ya umma, hakuna anayeshituka jinsi huduma za umma zinavyotolewa wala jinsi makampuni binafsi yanavyowaibia wananchi
wazi wazi mchana kweupe. mfano bei ya sukari kupanda kwa sababu viwanda vimeficha sukari kwenye
maghala yao kwa makusudi tu.
hii hoya ni ya msingi lakini je chadema wana hakika gani kama ya mwembe chai au Arusha hayatajirudia tena?
maana damu za watanzania umwagwa kila siku na police bia sababu.
lakini ni kwa nini wasiwashitaki ccm kimataifa na kuwaelimisha wananchi
umuhimu wa kura zao katika kuleta maendele, wakati wa uchaguzi wasimamishe wagombea wanaokubalika zaidi kwa wananchi na kwenye chama
ndipo hoja na shwali la msingi ccm na chadema mnatupeleka wapi? je kuna anayejua kati yenu haya maandaki mnayoyachimba miyoni mwa wanatanzania yatafukiwa vipi? na hapa nina maana ya dhiki au kuchukiana wao kwa wao kwa kufuata vyama
ccm kwa nini damu zinamwagika kwa visingizio vya juu juu tu? na chadema kwa nini msilekebishe harakati
zenu kuokoa maisha yanayopotezwa na police wasio na huruma kila siku
naomba kuwakilisha
mdao
source www.lifeofmshaba.com