Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
Wakuu poleni na shughuli zenu za kujitafutia mkate,
Nimechelewa kuleta taarifa hii kutokana na sababu mbalimbali,siku ya jana majira ya mchana kumetokea vurugu baina ya wafuasi wa ACT na CCM,ikumbukwe kua jimbo la Korogwe lipo chini ya CCM kwa miaka mingi ambapo kwa sasa wanamgombea wao Mery Chatanda,
Uchaguzi huu umekua na upinzani wa hali ya juu kwenye jimbo hili hasa baada ya Salma Mtambo kujiengua CCM na kujiunga ACT ambapo kwa sasa nae yumo katika kinyang'anyiro hicho cha ubunge,wamama hawa wananguvu sana eneo hilo,sikubahatika kuona tukio mpaka mwisho ili kupata undani wa vurugu hizo ingawa baadhi ya mashuhuda wanadai wafuasi wa CCM walikwenda kwenye kambi ya ACT na kuanza kurushiana maneno jambo ambalo lilipelekea kutupiana chupa na mawe.
Maoni binafsi: Wanachi wenzangu tuacheni siasa za visa maana kuna maisha baada ya uchaguzi.
Nimechelewa kuleta taarifa hii kutokana na sababu mbalimbali,siku ya jana majira ya mchana kumetokea vurugu baina ya wafuasi wa ACT na CCM,ikumbukwe kua jimbo la Korogwe lipo chini ya CCM kwa miaka mingi ambapo kwa sasa wanamgombea wao Mery Chatanda,
Uchaguzi huu umekua na upinzani wa hali ya juu kwenye jimbo hili hasa baada ya Salma Mtambo kujiengua CCM na kujiunga ACT ambapo kwa sasa nae yumo katika kinyang'anyiro hicho cha ubunge,wamama hawa wananguvu sana eneo hilo,sikubahatika kuona tukio mpaka mwisho ili kupata undani wa vurugu hizo ingawa baadhi ya mashuhuda wanadai wafuasi wa CCM walikwenda kwenye kambi ya ACT na kuanza kurushiana maneno jambo ambalo lilipelekea kutupiana chupa na mawe.
Maoni binafsi: Wanachi wenzangu tuacheni siasa za visa maana kuna maisha baada ya uchaguzi.