Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
CCM Musoma Mjini naomba katika uchaguzi mkuu mwaka huu mje na mgombea ubunge mpya asiwe Mathayo tena kwa sababu dalili zinaonesha Vincent Nyerere anaenda kupita bila kupingwa mkimrudisha Mathayo.
Pia dalili zinaonesha CCM kupotea Musoma Mjini pia na mkoa wa Mara nzima na huenda majimbo mengi yakaenda CHADEMS katika uchaguzi huu.
Pia dalili zinaonesha CCM kupotea Musoma Mjini pia na mkoa wa Mara nzima na huenda majimbo mengi yakaenda CHADEMS katika uchaguzi huu.