CCM mtawafukuza CCM Wazenji wangapi ??

CCM mtawafukuza CCM Wazenji wangapi ??

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,760
Kila Mzanzibari alie CCM ambae ni kiongozi anaeonekana kwenda kinyume na matakwa ya CCM mwisho wake huwa mbaya na huvuliwa nyadhifa zote za uongozi na kutupwa kama mzoga na huonekana si lolote si chochote katika jamii ya wanaCCM. Na hili zaidi hutendewa WaZanzibari tu ,angalia Akina Seif na wenziwe wakati wa Nyerere walitimuliwa ,ni juzi tu Mansor Yousef nae katimulia ,hata haukujatulia Yule Mwanasheria Mkuu nae anaundiwa zengwe afukuzwe habari zipo huku Othman Masoud kufukuzwa nafasi ya MMWZ na Kupewa Mkusa Sepetu..Bado iko siri - Mzalendo.net

Mbona huku Tanganyika hakuna afukuzwae kuna mambo kibao ,hatusikii Mtanganyika kufukuzwa lile la Mwigulu kama angelisema Mzanzibar ndani ya bunge la Katiba bai ingelikuwa ameshapata la kumpata ,mbali ya viongozi wakuu waliohusishwa na mambo mbalimbali ikiwemo rushwa na mikataba mibovu kama wangekuwa wazenji wangelikwisha fukuzwa chamani na kutolewa ndani ya serikali .ila tunawaona akina Lowasa wavijisenti. wanapeta ndani ya CCM mbali waliojitangaza kugombea uraisi ndani ya CCM ,kama wangelikuwa wazenji basi wangekwishatimuliwa.
 
Othumani ni cuf au hujui unachofanya wewe bavicha tafuta vizuri ujue ndiyo useme siyo kuropoka unatia aibu sana.
 
Kila Mzanzibari alie CCM ambae ni kiongozi anaeonekana kwenda kinyume na matakwa ya CCM mwisho wake huwa mbaya na huvuliwa nyadhifa zote za uongozi na kutupwa kama mzoga na huonekana si lolote si chochote katika jamii ya wanaCCM. Na hili zaidi hutendewa WaZanzibari tu ,angalia Akina Seif na wenziwe wakati wa Nyerere walitimuliwa ,ni juzi tu Mansor Yousef nae katimulia ,hata haukujatulia Yule Mwanasheria Mkuu nae anaundiwa zengwe afukuzwe habari zipo huku Othman Masoud kufukuzwa nafasi ya MMWZ na Kupewa Mkusa Sepetu..Bado iko siri - Mzalendo.net

Mbona huku Tanganyika hakuna afukuzwae kuna mambo kibao ,hatusikii Mtanganyika kufukuzwa lile la Mwigulu kama angelisema Mzanzibar ndani ya bunge la Katiba bai ingelikuwa ameshapata la kumpata ,mbali ya viongozi wakuu waliohusishwa na mambo mbalimbali ikiwemo rushwa na mikataba mibovu kama wangekuwa wazenji wangelikwisha fukuzwa chamani na kutolewa ndani ya serikali .ila tunawaona akina Lowasa wavijisenti. wanapeta ndani ya CCM mbali waliojitangaza kugombea uraisi ndani ya CCM ,kama wangelikuwa wazenji basi wangekwishatimuliwa.
Jaribu kuona aibu othumani masud ni mwakilishi wa cuf yupo bungeni kuwakilisha cuf kwakuwa cuf wamegoma kuingia bungeni yeye kafuata posho tu ila hutamsikia kusema kitu badala yake anasubiri posho tu.
 
Hili nalo neno...Mie nafikiri Wazanzibari wamedandia chombo wasichokijua chaenda wapi

Seif Sharif Hamad kafukuzwa, Aboud Jumbe kafukuzwa, Mansoor kafukuzwa, lakini akina Kangi Lugola na wale wa Zanzibar sio inchi ahaaa wanakula feni Dodoma
 
Othumani ni cuf au hujui unachofanya wewe bavicha tafuta vizuri ujue ndiyo useme siyo kuropoka unatia aibu sana.

Nijuavyo mimi Waziri wa Sheria Mr Aboubakar ndo CUF. Huyu mwanasheria ni mfanyakaz wa Serikali, hana chama. Kama anacho ni moyoni mwake. Lakini ni mtumishi wa Umma, ambae kisheria ni Neutral man hata kama ana chama
 
eeh Mwenyezi Mungu tuepushie hili suala la ZANZIBAR ni NCHI au SIO NCHI
mana naona tuendako siko
 
Wapi mzee wa posho Sitta, 150 milioni hiyoooo inaota mbawa.
 
Nijuavyo mimi Waziri wa Sheria Mr Aboubakar ndo CUF. Huyu mwanasheria ni mfanyakaz wa Serikali, hana chama. Kama anacho ni moyoni mwake. Lakini ni mtumishi wa Umma, ambae kisheria ni Neutral man hata kama ana chama

Mfanyakazi anaruhusiwa kuwa na chama.......haruhusiwi kufanya siasa kazini
 
Umeongea vzr lakini umeharibu topic kuhusisha watu wengine kama akina Lowassa na Vijisenti. Hata mkijitenga ndugu zetu mtakula nini wakati ndo hivyo tena hamtaki kufanya kazi zaidi ya kucheza taarabu?
 
Hakuna anayeweza kuitenganisha CCM na double standards!!!!!
 
Kama walivyo CHADEMA unaona mbali sana kama makengeza ya mwenyekiti wenu.

Nadhani suala la.maumbile ya mtu aachiwe Mungu mwenyewe, maana hakuna aliyechagua kuwa jinsi alivyo, ukiona huna hoja unapiga kimya mkuu, angalau utaficha ujinga wako.
 
Umeongea vzr lakini umeharibu topic kuhusisha watu wengine kama akina Lowassa na Vijisenti. Hata mkijitenga ndugu zetu mtakula nini wakati ndo hivyo tena hamtaki kufanya kazi zaidi ya kucheza taarabu?

nawe hutaki kufanya kaz zaidi ya mitungi
 
Eti hawataki kufanyakaz zaid ya taarab, ww kenge sn.ebu jiulize dar wazenj maisha yao yakije?znz km c ccm ingekuwa mbali sn kumaendeleo.hata ukienda zenj vijana weng wanamiliki mijengo yao pamoja na life kuwa ngumu.jiulize ww unaepanga chumba kimoja dar una nn zaid ya pombe?acha ubaguz wa kijinga
 
Othumani ni cuf au hujui unachofanya wewe bavicha tafuta vizuri ujue ndiyo useme siyo kuropoka unatia aibu sana.

Tatizo unafikiri kwa kutumia vidole , awe CCM au CUF hujuma inayofanywa ni moja tu ,watu wasiomjua huyu Othaman ndio wataomshangaa, wale tunaofuatilia mijadala hii kwa muda mrefu he always speak his mind which is very rarely to our modern politicians. ajiandae na lolote lile hata kwenda jela labda kwa kukutwa na documents au hata bomu nyumbani kwake. wazanzibari wenye uchungu na nchi wote wako jela, wamefikishwa mahakamani na wengine wameshafunguliwa kesi, wanatafutwa na polisi na wengine wameshafungwa jela. Ila uhuru wa kweli hupatikana kwa mapambano WaZanzibari walipambana kupata uhuru wao na wataendelea kupambana kuulinda Uhuru wao ,

Vipi Tanganyika mlipambana kupata uhuru ?? NOPE ! ndio maana mmeshikwa na butwaa .mnashangaa watu wanafanya Ikulu sehemu ya biashara namadili makubwa mkisubiri ccm iwaletee maendeleo na matunda ya uhuru.mtasubiri sana ,wametoa posho kubwa ili kuzidi kuuzika uhuru wa Mtanganyika na sasa hawataki kusikia neno Tanganyika ni maagizo kutoka kwa waganga wao wameambiwa kama tanganyika itazuka basi ndio mwisho wenu ,pingeni uweni fanyeni kila kitu lakini msikubali jina Tanganyika bora hata muite Tanzania Bara na ndio wanachokifanya miccm kila kwenye Tanganyika wanaita Tanzania bara.
 
Back
Top Bottom