Tatizo la nchi hii siyo mtu. Tatizo la nchi hii ni mfumo. Ili tuondokane na kero ya mfumo ulioshindwa kazi, mfumo unaotudhalilisha, ni lazima sasa watanzania waiondoe ccm madarakani ili heshima ya nchi yetu irudi
Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa tz. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.
Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.
Jambazi sugu na fisadi papa lowasa kamwe hawezi kuwa rais wa tz. Ni mwizi ana fitina hana hoja hawezi kujieleza. Hana ubobezi wa aina yoyote.
Nguvu yake kubwa ni kinunua watz kwa nguvu ya pesa.
kweli wengi bado wajinga kwani wanakimbilia kujiandikisha ili wapate vitambulisho vya kutumia katika mambo mengine kabisa badala ya kupigia kula. ati kitamsaidia kuombea mkopo
Swali langu ni moja tu, Je unaamini Tume ya Uchaguzi ya Jaji Lubuva inao uwezo wa kukataa matakwa ya CCM na kumtangaza mgombea wa UKAWA mshindi wa Urais?
Tatizo la nchi hii siyo mtu. Tatizo la nchi hii ni mfumo. Ili tuondokane na kero ya mfumo ulioshindwa kazi, mfumo unaotudhalilisha, ni lazima sasa watanzania waiondoe ccm madarakani ili heshima ya nchi yetu irudi
Ni kweli mkuu, mzalendo yeyote mwenye akili timamu hawezi kuendekeza ushabiki wa kisiasa na kuweka utaifa chini, ndugu zetu wangapi wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya, leo hii watu wanatumia fedha nyingi kujitukuza!! "lakini ajikwezaye atashushwa" Mtu, kikundi cha watu, Taasisi au Chama chochote Kisichopingana na dhuluma na Ufisadi, KILAANIWE MILELE, WOTE TUSEME AMINA.
Swali langu ni moja tu, Je unaamini Tume ya Uchaguzi ya Jaji Lubuva inao uwezo wa kukataa matakwa ya CCM na kumtangaza mgombea wa UKAWA mshindi wa Urais?
kweli wengi bado wajinga kwani wanakimbilia kujiandikisha ili wapate vitambulisho vya kutumia katika mambo mengine kabisa badala ya kupigia kula. ati kitamsaidia kuombea mkopo