Ccm msimamo wa serikali mbili mumeupata wapi?

Ccm msimamo wa serikali mbili mumeupata wapi?

Centrehalf

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2013
Posts
509
Reaction score
145
Salaam wana jf,mimi ni kiwa mwana ccm nimeshangazwa sana na msimamo wa ccm katika muundo wa muungano kuwa ni serikali mbili.mimi kama mwana ccm na kiongozi kwenye eneo langu ninapenda kukiri kwamba hatujawahi kukaa kwanzia ngazi ya chini hadi ya juu kabisa ilikukusanya maoni ya wana ccm juu ya msimamo wa chama kuhusu muundo wa muungano tofauti na tume ya warioba iliyozunguka nchi nzima kukusanya maoni ya watanzania na kuibuka na maoni ya serikali tatu toka kwa wananchi.inavyoonekana kuna watu wasiozidi 80 ndani ya chama wanaotaka serikali mbili kwa manufaa yao binafsi na wengine hao wanaopigia kelele muundo huo ------------ tu.hivi tutafika kweli kichama kama tutaendekeza mfumo huu wa wachache kuamua msimamo wa chama kwaniaba ya wengi?nawasilisha.
 
Muungano unaolindwa na chama kimoja hauwezi kudumu kamwe, siku chama hicho kikiondolewa madarakani muungano hakuna! Ndani ya ccm waamuzi hawazidi 60, wengi wao huburuzwa tu ndani ya chama chao, sio wabunge wala wanachama wa kawaida!
 
Muungano unaolindwa na chama kimoja hauwezi kudumu kamwe, siku chama hicho kikiondolewa madarakani muungano hakuna! Ndani ya ccm waamuzi hawazidi 60, wengi wao huburuzwa tu ndani ya chama chao, sio wabunge wala wanachama wa kawaida!

Wajumbe wa NEC ccm hawafiki 60.
 
tatizo hatujaona ccm mlio kinyume mkija juu...mmo mitandaoni tu
 
Hiki chama kililelewa katika mfumo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama, kwahiyo atakavyosema mwenyekiti na wote ndiyo hivyohivyo.
 
Hiki chama kililelewa katika mfumo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama, kwahiyo atakavyosema mwenyekiti na wote ndiyo hivyohivyo.

Vyama vyote vina mfumo wa "zidumu fikra!" Ndio maana wanaoenda kinyume na mawazo ya wenyeviti wao hukiona cha moto!
 
Muungano unaolindwa na chama kimoja hauwezi kudumu kamwe, siku chama hicho kikiondolewa madarakani muungano hakuna! Ndani ya ccm waamuzi hawazidi 60, wengi wao huburuzwa tu ndani ya chama chao, sio wabunge wala wanachama wa kawaida!

Mkuu umesahau kuwa Chama hicho hicho kimoja kinakubaliwa na "wananchi walio wengi?"
 
Kwani kwa sasa tunaserikali ngapi? Achana na mawazo ya warioba yaliyopotoka yaliyotokana na data za kupika halafu wanatuamnia maoni ya wananchi.
 
Kwa design hii hatuwezi kufika popote... Hembu ccm badilikeni,
Mkuu unataka ccm wabadilike kwa kipi kwa nini tunakuwa na akili za kutojua ukweli mimi naamini ccm wako sawa na wao ndiyo wenye dhamana ya kulinda amani na utulivu wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom