CCM Msibabaishwe na Mngeja pamoja na Lowasa

CCM Msibabaishwe na Mngeja pamoja na Lowasa

Mwamba Usemao Kweli

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
744
Reaction score
186
Tuwaogope sana sampuli hii ya viongozi wanaotumia Fedha nyingi, kujenga Makundi ndani ya chama, kuzushia wenzao uwongo kupitia vyombo vya habari na kutisha wenzao ili wapate madaraka makuu ya nchi.

CCM rudisheni chama katika misingi yake ya kutetea wanyonge ambao ni wakulima na wafanyakazi wa taifa hili.

Achaneni na madalali wa ufisadi.
 
Tuwaogope sana sampuli hii ya viongozi wanaotumia Fedha nyingi, kujenga Makundi ndani ya chama, kuzushia wenzao uwongo kupitia vyombo vya habari na kutisha wenzao ili wapate madaraka makuu ya nchi.

CCM rudisheni chama katika misingi yake ya kutetea wanyonge ambao ni wakulima na wafanyakazi wa taifa hili.

Achaneni na madalali wa ufisadi.
Acha ujinga..... Yeye na wale wanaouwa wajumbe wa NEC kwa sumu nani muhimu...
 
Kwanza mpaka uchaguzi ufike Mangula atakuwa jela kwa kosa la kutaka kumuuwa Dr. SlaaTE]
Dr.Slaa ni tishio Kubwa kwa ccm ndo maana Mangula wanataka kumuua Dr.Slaa ni hatari sana
 
Kwanza mpaka uchaguzi ufike Mangula atakuwa jela kwa kosa la kutaka kumuuwa Dr. Slaa

Mangula hatakiwi kwenye hili taifa akisaidiana na Nape. Wao ndio wamejenga makundi na kuua chama chetu cha ccm hata kufanya kionekane chama hovyo sana.
 
Honestly hujui utendalo next time ukitaka kutuhumu watu weka ushahid au sources then kama lengo ni kumchafua mtu state mwanzo kuwa ni campaign na uwataje uwaungao mkono
 
Ocampo four umesahau EL na mtandao wake walivyomtesa Mhe Waziri Mwakyembe kwa sumu sababu ya Richmond na uPM?
 
View attachment 233711
raisi mtarajiwa wa monduli.
10373708_733285686770375_5347863012528055326_n.jpg


attachment.php
 
Back
Top Bottom