GE2025 CCM Morogoro kama mnamuogopa Abood mpeni ubunge wa kuteuliwa (viti maalum)

GE2025 CCM Morogoro kama mnamuogopa Abood mpeni ubunge wa kuteuliwa (viti maalum)

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

ofisa

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2011
Posts
4,362
Reaction score
4,101
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.

Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini, mjini lami mashimo madogo dogo, mji mtandai wa lami ni mdogo, huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023, Je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?

Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka, kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakini watuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna. Chuo cha Jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.

Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar, ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana, ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
 
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.
Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini,mjini lami mashimo madogo dogo,mji mtandai wa lami ni mdogo,huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023,je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?
Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka,kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakinibwatuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna..Chuo cha jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.
Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar,ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana,ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
Bora huyo abood anasaidia sana hawa masikini makelele mengi matendo zero..
 
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.

Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini,mjini lami mashimo madogo dogo,mji mtandai wa lami ni mdogo,huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023,je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?

Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka,kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakinibwatuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna..Chuo cha jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.

Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar,ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana,ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
Vipi wajumbe wako upande gani?

Ndumuz wasingesusia huu uchaguzi jimboni lilikua wazi kabisa
 
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.

Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini,mjini lami mashimo madogo dogo,mji mtandai wa lami ni mdogo,huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023,je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?

Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka,kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakinibwatuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna..Chuo cha jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.

Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar,ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana,ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
Abood ndiye anatoa dau kubwa. Kaeni kwa kutulia. Kama vipi na nyie nendeni Pakistan mkagombee ubunge
 
Abood hafai hata kidogo, anachowasaidia wananchi ni usafiri wa watu kwenda makaburini kuzika,
Morogoro kuna tatizo sugu la maji hapo manispaa maeneo ya Mitaa ya Kihonda,Mkundi,Kiegea na Nguvu Kazi,
Ameshindwa kutatua tatizo hili la maji kwa muda mrefu, idara ya maji imejaa rushwa wanataka wananchi wajinunulie mabomba na kulipia gharama za uchimbaji wa mitaro ya mabomba,
 
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.

Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini,mjini lami mashimo madogo dogo,mji mtandai wa lami ni mdogo,huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023,je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?

Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka,kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakinibwatuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna..Chuo cha jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.

Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar,ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana,ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
Hapa swala siyo Abood apa swala ni mfumo wa thamani ya kura ya mwananchi...
Tumefika hatua kura ya mwananchi kiasi kwamba Haina thamani kabisa...hatuwezi kumwajibisha mbunge, diwani, mwkiti pale anaposhindwa kuwajibika...na mwisho wa siku Watawala wanatuona wapiga kura kama manyumbu...kama siyo kuitwa Kenge...tupambane tu nyakati zinakuja habari ya kuomba uongozi hapa nchini litakuwa ni sehemu ya kutokukimbilia kama wakina Mwijaku na wakina Babalevo au Babu Tale.
 
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.

Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini,mjini lami mashimo madogo dogo,mji mtandai wa lami ni mdogo,huu mradi wa Barabara ya Tungi ni wa 2022/2023,je 2023/2024 na 2024/2025 zilipatikana kilomita ngapi za lami?

Tuna imani kwa makusanyo ya TAMISEMI na TRA wakieleweshwa na mbunge mzuri wawe wanatenga kwa TARURA angalau KILOMITA 10 kwa jimbo kwa mwaka,kwa miaka 5 tungekuwa na mtandao mpana tu.
CCM kama wanamwonea aibu basi wampe viti maalum wazazi na iyo misaada ya usafiri wa kuzika aendelee nayo yu lakinibwatuletee mtu ambaye anajua kupenya na mwenye kujua tufanye nini mji ufunguke.Leo hii bong'ola utelezi mtupu hata kuulizia changarawe hakuna..Chuo cha jordan hakijaunganishwa na lami kutokea Bigwa.

Msamvu ndio eneo lenye uwekezaji mkubwa wa mahotel na bar,ingepaswa papendezeshwe pafungue zaidi.
Soko la mawenzi ni chafu sana,ila barabara ya lami imejengwa mafiga kuelelea chamwino badala ya MAWENZI.
Morogoro mjini ingekuwa na mbunge mwenye uchungu na kila mwananchi bila kujali hadhi katika jamii, cheo, uchumi, dini, rangi, kabila, itikadi nk.

Morogoro mjini ikipata mbunge mbunifu na mwenye ushawishi wa wananchi na serikali kwa ajili ya maendeleo ndani ya miaka mitano inakuwa jiji. Pale kituo cha SGR Kihonda panatakiwa kuwa na ujenzi wa kiasasa kama walivyofanya Dodoma kuna nyumba za kisasa usipime na zimejengwa ndani ya miaka miwili tu wakati palikuwepo maficho ya wahalifu karibu na vilima vya mawe.

Morogoro haiwezi kuendelea tena kama itaendelea kembeba huyo Abood ambaye ana ofisi mjini kati kwa majengo ya miaka ya 1945 hakuna maboresho yoyote ya ujenzi wa magorofa marefu kama walivyoanza kufanya changamoto Shabiby na BM pale Msamvu na Masika hao ndio wanaonesha maono ya kubadili sura na mwonekano halisi wa mji. Napendekeza ujengwe satellite city maeneo ya kiegea na nguvu kazi

Uharibifu wa mazingira kuanzia mlima Uluguru umeharifu mtiririko wa maji kupita mjini kwa ukataji wa miti na na ujenzi usiozingatia hifadhi ya mazingira.
 
Morogoro mjini ingekuwa na mbunge mwenye uchungu na kila mwananchi bila kujali hadhi katika jamii, cheo, uchumi, dini, rangi, kabila, itikadi nk.

Morogoro mjini ikipata mbunge mbunifu na mwenye ushawishi wa wananchi na serikali kwa ajili ya maendeleo ndani ya miaka mitano inakuwa jiji. Pale kituo cha SGR Kihonda panatakiwa kuwa na ujenzi wa kiasasa kama walivyofanya Dodoma kuna nyumba za kisasa usipime na zimejengwa ndani ya miaka miwili tu wakati palikuwepo maficho ya wahalifu karibu na vilima vya mawe.

Morogoro haiwezi kuendelea tena kama itaendelea kembeba huyo Abood ambaye ana ofisi mjini kati kwa majengo ya miaka ya 1945 hakuna maboresho yoyote ya ujenzi wa magorofa marefu kama walivyoanza kufanya changamoto Shabiby na BM pale Msamvu na Masika hao ndio wanaonesha maono ya kubadili sura na mwonekano halisi wa mji. Napendekeza ujengwe satellite city maeneo ya kiegea na nguvu kazi

Uharibifu wa mazingira kuanzia mlima Uluguru umeharifu mtiririko wa maji kupita mjini kwa ukataji wa miti na na ujenzi usiozingatia hifadhi ya mazingira.
Hujitaji mbunge kubadili Hali ya maisha

Haya ni Mawazo finyu sana
 
Back
Top Bottom