Critical thinking ni CCM kuongeza idadi ya risasi kwaajili ya wahuni kama wale wakijitokeza tena. China wanafanya hivyo, NKorea wanafanya hivyo, Urusi wanafanya hivyo na Cuba wanafanya hivyo. Bila CCM imara nchi itayumba. Hebu ona sasa hivi vurugu zilitokea watu walikufa, mali ziliharibiwa lakini nchi iko imara na mifumo yote iko intact na watu wako wamoja. China haibembelezi wakora, Nyerere alikuwa habembelezi wakora, Castrol alikuwa habembelezi wakora, Jong Kim Un habembelezi wakora na Putin habembelezi wakora. Tz tunajisifu hatuna ukabira wala udini kwasababu wa uimara wa Nyerere. Yaani Kambona alikiona, Jumbe alikiona, Bibi Titi alikona, Maalim alikiona, G55 walikiona, Salmin na kila mtu aliyetaka kutikisa kiberiti alikiona cha mtemakuni.Unajua hata maana critical thinking
Kumbe wewe hujui kitu. CCM ni jeshi na jeshi ni CCM, hata sasa CCM imedhoofika lakini CCM itaendelea kushinda tu. kwani wewe unadhani kule Rwanda, Uganda, Burundi vyama tawala vinashinda uchaguzi miaka yote hiyo?. Waafrika na Waarabu hawahitaji demokrasia bado, bado wanahitaji kuambiawa nini wafanye na nini wasifanye. Ndio maana unaona mpaka leo kuna kaya hazina vyoo, vijana mchana wanacheza pool na kuishi kwa shemeji. bado kuna mtu anadhani uchawi na maombi vinaweza kumpatia mali. Watu wamejazana kwa Mwamposa na wengine bado wanakata viungo vya albinos kusaka utajiri, watu kama hao demokrasia inawasaidia nini?Lumumba itabakia Pango tupu.
Unaandika uchafu.Kumbe wewe hujui kitu. CCM ni jeshi na jeshi ni CCM, hata sasa CCM imedhoofika lakini CCM itaendelea kushinda tu. kwani wewe unadhani kule Rwanda, Uganda, Burundi vyama tawala vinashinda uchaguzi miaka yote hiyo?. Waafrika na Waarabu hawahitaji demokrasia bado, bado wanahitaji kuambiawa nini wafanye na nini wasifanye. Ndio maana unaona mpaka leo kuna kaya hazina vyoo, vijana mchana wanacheza pool na kuishi kwa shemeji. bado kuna mtu anadhani uchawi na maombi vinaweza kumpatia mali. Watu wamejazana kwa Mwamposa na wengine bado wanakata viungo vya albinos kusaka utajiri, watu kama hao demokrasia inawasaidia nini?
CCM kwa sasa haina haja ya kushinda uchaguzi, inashindana na nani? Jukumu la CCM kwa sasa ni kuwahakikishia wananchi wote bila kuwabagua amani, utulivu, usalama wao na mali zao, kuwapa huduma na kuvilea vyama vya upinzani mpaka vikomae na kuwa tayari kushindana na CCM kwa hoja, sera na mipango ya kuijenga nchi yao.Unaandika uchafu.
Ccm imeshinda uchaguzi mara ya mwisho mwaka gani ?
Hayo ya uhawi anza na hao sisiem wenzio majuha kabisa kutwa kushindana kwa waganga then unakuja kuandika upumbavu kama huu.
Huu ni unafiki wa kuwapaka Rangi watu waliojaa uchafu wa kila aina.
Huku kupinda pinda kwenu mnafanya tuwe na mashaka hata na jinsia zenu.
Kaka huu utaratibu ndio unaotupatia reli, barabara, umeme kila kijiji, maji, hospitali, shule, mikopo ya elimu, madaraja marefu na amani na utulivu bila kubaguana kwa kabila, dini wala kanda. Hivyo faida ni kwa taifa zima.Huu utamaduni ni kwa maslahi ya taifa, Chama ,maslahi ya wananchi, maslahi ya wanachama au maslahi ya viongozi wakuu wa CCM ?
Hilo ni tatizo, Nyerere alitukosea hapo. Alikopi Katiba ya China lakini akaacha usimamizi mkali wa viongozi. Hapa pia lawama ziende kwa Mzee Ali Hassan Mwinyi kwa kuja na Azimio la Zanzibar lililolegeza maadili ya viongozi.Communisty party ya china, mtu au kiongozi akifanya ufisadi ananyongwa, akila rushwa anafungwa, Je CCM watayaweza hayo?
Ni mfumo tu watangulizi/babu na bibi zenu wameshaamua kwaajili yenu hakuna kihoji. Huwezi kuhoji kwanini wewe una jina hilo, una dini hiyo au una kabila hilo. Babu na baba yako waliamua kwaajili yako. Kule Uingereza pamoja na ukongwe wao na usomi wao na werevu wao lakini babu zao waliamua kuwe na ukoo mmpja tu wa kifalme unaowatawala kama mazuzu na wala hawahoji kwani familia moja tu itutawale na tuilishe milele. Kule Marekani babu zao walishaamua kuwa ni nchi ya muungano na namna ya kumpata Rais na ubepari ndio mfumo wao, na hakuna anaeruhusiwa kuhoji kwanini wanapiga kila mtu na kunyang'anya mali za wengine kibabe kama vile walivyofanya Venezuella, Iraq, Libya, Chile, nkMkuu kuna mambo mengi umeyasema ni mazuri but kuna mangine hayana afya.Kuna mambo huwezi kuyazuia kwa kuyahairisha yataleta balaaa huko mbeleni lazima yatafutiwe ufumbuzi.Marais waliotangulia kushindwa kuyatatua sio kwamba ndio mtu asiweze kuyatatua.
Mfano mdogo kabisa wakati wa nyerere na hata kikwete miaka ya majuzi hapo kulikuwa na fair katika uchaguzi,na wabunge wa upinzani walikuwa wanaongezeka kila mwaka kwa nini kwa Magufuli wapungue.
Ni kweli Kikwete na Samia wanaogopa nchi na Chama kufia mikononi mwao,but ni kipi ufanye.Ukiangalia model ya Russiq sasa hivi vyama ni kama ni mfu-lazima ukubali kupoteza.Huko China unapopatolea mfano mfumo wao wa uongozi upo imara sana ndio maana wapo vizuri kiuchumi.
Ukweli mchungu ni kuwa Magufuli na Lisu wamisha iua CCM yetu,ni ngumu na jambo lisilowezekana kumsimamisha mgombea wa CCM na upinzani free & fair ashinde.
wewe sikulaamu, mitaala yenu huko tz haina somo la critical thinking. Hata ukisikia mlio wa bomu unaelekea upande huohuo ili ukajionee mwenyewe nini kimetoa sauti. Sisi huku hata mtoto mdogo ukimpa pipi ataukuuliza maswali what is this? Why me? Why now? What do you want from me? kabla hajapokea pipi yako. Wewe ni mpumbavu na unawafundisha wanao upumbavu wa kukwepa reasoning.
Communisty party ya china, mtu au kiongozi akifanya ufisadi ananyongwa, akila rushwa anafungwa, Je CCM watayaweza hayo?
Watanyogwa wote waishe hadi wakosekane wa kuwanyonga wengineCommunisty party ya china, mtu au kiongozi akifanya ufisadi ananyongwa, akila rushwa anafungwa, Je CCM watayaweza hayo?
Sisi tayari mambo yetu, tunakisemea kizazi cha vijana na watoto ambao hawawezi kumbambanua. Hata hivyo haya ni maoni yangu tu, hasa kutokana na exposure yangu iliyotukuka na elimu ya kuunganisha dots.Bado sana bob kaza mimi nimeshatoka kwenye fikra za watu akili kama zako watu tuko mbali na hawaamini kama tuko mbali sasa wewe endelea kushinda na dunia wanasema dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo
Kweli wewe ni mjamaa na wajamaa tunajua kuandika kweri kweri!Tangu tupate uhuru tumesema sisi tunajenga nchi ya ujamaa na kujitegemea, na hatukuwahi kusema kuwa sasa tumeachana na ujamaa na kujitegemea tunageukia ubepari. Tunataka kila Rais wetu ajue hivyo. Ujamaa una misingi yake na ubepari una sura na misingi yake. Mfano, kuchukua ardhi iliyoko kwenye kabila moja na kuwapa kabila lingine bure ni sura ya ujamaa.
Kama Rais Samia hatasisima imara dhidi ya wahuni historia inaweza kumkumbuka kama Gorbachev wa Tanzania.
Urusi chini ya Soviet ilikuwa imara kwa kila kitu kuliko China lakini China sasa ni imara kuliko Urusi kiuchumi hata kiulinzi kutokana na makosa ya Mikail Gorbachev. Urusi ya sasa inamlaani Gorbachev kwa kuandika Katiba iliyosababisha muungano wa Kisoviet kuanguka na sasa Urusi ni dhaifu, na wahuni wanatishia kuichukua kabisa yote. Kama sio akili za Putin sasa hivi wahuni wa magharibi wangeshazigawana rasilimali zote za Urusi na kuwa zao. China imejifunza kutokana na makosa ya Soviet ndiyo maana hawataki majimbo kama ya Tibet na Taiwan yajitenge na kuyafanya majimbo mengine yaige mfano wao. India ndiyo maana hawataki tena Kashimir ijitenge kama yalivyofanya majimbo mengine kama bangaladesh na mengine.
Wachina na Warusi na Nyerere sio wajinga kiasi hicho kuukumbatia ujamaa. Nchi yetu bado ina wajinga na maskini wengi sana, hebu twendeni taratibu. Uchumi wetu bado ni mdogo sana kumudu kugharamia demokrasia kama ya Marekani; tutadumaa kwelikweli kama tutapanua demokrasia ikawa pana sana kama ya magharibi. Marais wetu waliotangulia sio kwamba walishindwa kuandika katiba mpya, lakini walihofia kuwa Gorbachev wa tanzania, chama na nchi vikawafia mikononi mwao.
Pale Kenya kila wiki wanagoma na kuandamana kisa wanayo katiba inayoruhusu kufanya hivyo. Katiba ambayo haiongezi value yao kimaisha na uchumi wa nchi. Ukabila na kutekana kumebaki kulekule mpaka sasa ingawa wanayo katiba ambayo inaweza kuufutilia mbali uchaguzi na kuanza upya.
Tanzania hatuna uchumi unaoruhusu kuufuta uchaguzi woote na kurudia tena upya huku wanafunzi wakiwa hawana fedha ya mikopo na madarasa hayana madawati.
RAIS SAMIA anaweza kuwa Gorbachev wetu kama atakubali kuandika Katiba pana yenye Tanganyika, mgombea huru, tume huruuuuu, na madaraka ya rais yaliyopunguzwa sana. Nchi itasambaratika kwenye awamu yake. Tunamuomba aiche nchi kama alivyoiacha Magufuli, Nyerere na marais wengine kwakuwa muda wa watanzania kuwa huru kama raia wa Marekani na Ufaransa bado, bado kuna wanaojisaidia vichakani mpaka leo wanohitaji kulelewa na mfumo wetu huu wa kijamaajamaa. Bado kuna makabila hayana ardhi ambayo wanahitaji mfumo huu wa kupewa ardhi na Rais hata kama iko kwenye makabila mengine.
Sisi ni wajamaa tangu tupate uhuru ndiyo maana hata wachagga na waarusha wenye shida ya ardhi kwao wanaweza kuhamia popote nchini bila usumbufu, huko Kenya huwezi kufanya jambo kama hilo kwakuwa wao ni mabepari tangu awali na wanashinikizwa na mabepari kufuata mfumo huo kwa lazima hata kama hawataki. Hatuwezi kuwaiga wao kwa lolote lile maana hawana kizuri cha kujifunza kutoka kwao. Bila kuwa na nguvu alizokuwanazo Magufuli Kikatiba asingeweza kujenga bwawa lile la umeme na SGR, na wazigua wangepinga ardhi yao kupewa Wamasai wa Ngorongoro. Wapinzani wangempinga na mahakama ingemkwamisha Magufuli kujenga bwawa, reli au kuhamia Dodoma kwa nguvu kama alivyofanya Magufuli. Tutadumaa kwelikweli.
Vurugu za Oct29 kiukweli hazikutokana na madai ya Katiba mpya, ila waliopanga vurugu zile waliwajumuisha tu pamoja watu wanaodai Tanganyika (G55) na wale wanaodai tume huru ya uchaguzi (wapinzani). Chanzo halisi cha vurugu zile ni wale wale waliotaka Rais Samia asiwe Rais baada ya kifo cha Rais JPM kwa sababu zao. Na ni haohao ambao hawakutaka agombee uchaguzi wa 2025. Kundi hili kwasasa halina nguvu na pengine limeshaachana na madai yao kwakuwa lilishindwa mara mbili kumzuia mama asiwe Rais na asigombee 2025. Kundi hili sasa labda linajipanga kuandaa mgombea wao kwenye uchaguzi wa 2030 ndani ya CCM kwa kutumia Katiba hiihii na tume hiihii.
Kelele za sasa za Katiba mpya ni za wale wanaodai Tanganyika na wanaodai Tume huru ya uchaguzi ambao walikuwa wamejibanza kwenye kundi la wanaCCM ambao walikuwa hawapendi Rais samia awe Rais. Wanatumia sasa vurugu zile ambazo hazikuwa za kwao peke yao kumchomekea Mama na CCM agenda zao za Katiba mpya yenye Tanganyika na Tume huru ya Uchaguzi. Makundi haya mawili moja linataka Tanganyia zaidi na la pili linataka tume huru zaidi. Kundi la tanganyika liko tayari kulisaidia kundi la tume huru hata kwa kubadilisha kifungu hicho tu cha tume kwanza kabla ya uchaguzi wa 2029 na 2030 kuonyesha kuwa katiba hii hata wao wanaitamani sana ispokuwa kwenye kipengele cha tume huru ya uchaguzi na tanganyika. Maana yake hata wao kama wataingia madarakani hawatakuwa na haraka ya kuandika katiba mpya maana katiba hii ni tamu sana kwa watawala.
CCM ni replica ya chama cha ki communist cha China, hivyo lazima ki behave kama chama cha ki communist la sivyo nchi hii itasambaratika kama ilivyosabaratika Soviet union. Na hii ndio sababu ya Mwl. Nyerere kusema bila CCM imara nchi itayumba. Masalia ya G55 ya akina Jenerali Ulimwingu na Warioba yameibuka kudai tanganyika kwa kutishia eti bila katiba mpya hali itakuwa mbaya zaidi 2030; uongo;
CCM bado inao wajibu wa kuilea nchi hii hadi pale kila mtanzania amepata elimu, afya, chakula, mahali pa kulala, umeme, maji safi, barabara, kumiliki kipaande cha ardhi yake na umbali mfupi wa kupata huduma. Katiba hii ndiyo yenye uwezo wa kufikia haraka mambo haya yote kama rasilimali zetu zitavunwa, kusindikwa, kusimamiwa na kusambazwa kwa wananchi kwa usawa (equitably). Kazi yetu kuu ni kuwa makini na uteuzi wa viongozi makini na wazalendo kwa nchi yao.
Kiongozi anaeona haya kuilinda Katiba aliyoapa kuilinda hatufai leo hata kesho na keshokutwa. Katiba yetu hairuhusu kupokea maagizo kutoka EU au Marekani maana viwango vyetu havifanani kabisa, na tulisema hivyo punde tu baada ya uhuru. Sisi viwango vyetu ni vile vya China na Urusi, na ndivyo vilivyotuletea heshima hii tunayotamba nayo kuwa tulikuwa nayo huko nyuma. Ni upumbavu kudai Katiba kama ya Kenya au nchi za EU. Yaani mjinga anakwenda kushitaki uchaguzi wetu EU; sisi sio wa EU, Kenya sawa. Sisi tuulizwe habari za China maana babu zetu wa Taifa Nyerere na Karume walikuwa na fafiki yao ambae ni mchina, Mwenyekiti Mkuu Mao ambae aliwafundisha mambo mengi ikiwepo mavazi yasiokuwa na shingo (kola), na siasa zetu, ingawa wao wakasema hawataki kufungamana na upande wowote.Kweli wewe ni mjamaa na wajamaa tunajua kuandika kweri kweri!
Hata Xi Jinping na Putin wamepewa more time kutokana na umuhimu wao, sisi hapa hapana kwanza, ingawa tunao ushahidi kuwa marais wanaume ni ama wezi au wabadhilifu au vyote kwapamoja.Uzi makini sana huu. Ila kwa sasa kuna uhitaji mkubwa sana toka kwa wananchi kutaka Mama Samia aongezewe muda angalau atuongoze hadi 2037. Lazima Katiba ifanyiwe kitu ili muda wa mama uongezwe. KATIBA MPYA NI MUHIMU SANA ili kukata kiu ya watanzania wengi.
Naandika kwa uchungu kaka. Hii Katiba na huu muungano hadi kufika hapa vimeumiza watu wengi sana. Kuna watu walipoteza, kufungwa, kuumizwa, kukimbia nchi na wengine hata kufa kabisa ili Katiba na Muungano udumu milele. Hawezi kutokea mtu mmoja au kundi likasema Katiba haifai na muungano huu haufai kuwa hivi. Huyu mtu wa hivi lazima akumbane na hasira kubwa.Kweli wewe ni mjamaa na wajamaa tunajua kuandika kweri kweri!
Vijana wa leo hawajui tumetoka wapi! Tutaulinda Muungano wetu kwa gharama yoyote ile!Naandika kwa uchungu kaka. Hii Katiba na huu muungano hadi kufika hapa vimeumiza watu wengi sana. Kuna watu walipoteza, kufungwa, kuumizwa, kukimbia nchi na wengine hata kufa kabisa ili Katiba na Muungano udumu milele. Hawezi kutokea mtu mmoja au kundi likasema Katiba haifai na muungano huu haufai kuwa hivi. Huyu mtu wa hivi lazima akumbane na hasira kubwa.