CCM mlitumia vigezo gani kuwakata?

CCM mlitumia vigezo gani kuwakata?

swagazetu

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
4,253
Reaction score
1,475
Hi kweli January Makamba ni BORA kuliko:
-S.Sitta
-Jaji Ramadhani
-Prof.Mwandosya
-Mwakyembe
-Mwigulu

kama ndivyo no comment.
 
ccm wanajiamini kwa mengi,mojawapo wakiangalia picha hiz za 2010..

slaa_mwanza.jpg


HAY MAMBO KWAO C MAGENI
 

Attachments

  • Slaa na kadi za CCM.jpg
    Slaa na kadi za CCM.jpg
    12.4 KB · Views: 126
  • Kada Mbeya.JPG
    Kada Mbeya.JPG
    13 KB · Views: 116
mkuu usiulize ccm, muulize jk. maana alikuja na majina kwenye wallet yake, membe akawa amepata vyema nyingi sana na kuon goza katika 5 bora, walipo pewa nec kusahihisha upya waka gundua jk kamuongezea marks mdogo wake, waka weka marks za halali 120 na yeye kushika mkia
 
Back
Top Bottom