PreGE2025 LGE2024 CCM Mlikosea sana uchaguzi serikali za mtaa 2024

PreGE2025 LGE2024 CCM Mlikosea sana uchaguzi serikali za mtaa 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,294
Reaction score
13,959
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hatuju

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli
 
Ila mbowe muhuniiiiiiiii sana kumbe no reform No election alitaka kuiacha aiseeee maana wafuasi wake wanasema ilikuwa geresha🤣 ,halafu mbowe alisema hakuna kuhama chama kumbe ilikuwa geresha 😆 aisee kumbe wametafuna fedha za chura kiziwiiii weeeee Sasa wazitapike
 
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hakionekani

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli
Wanaccm hawajawahi kuwa na Aibu
 
Ila mbowe muhuniiiiiiiii sana kumbe no reform No election alitaka kuiacha aiseeee maana wafuasi wake wanasema ilikuwa geresha🤣 ,halafu mbowe alisema hakuna kuhama chama kumbe ilikuwa geresha 😆 aisee kumbe wametafuna fedha za chura kiziwiiii weeeee Sasa wazitapike
Inasikitisha sana
 
Ila mbowe muhuniiiiiiiii sana kumbe no reform No election alitaka kuiacha aiseeee maana wafuasi wake wanasema ilikuwa geresha🤣 ,halafu mbowe alisema hakuna kuhama chama kumbe ilikuwa geresha 😆 aisee kumbe wametafuna fedha za chura kiziwiiii weeeee Sasa wazitapike
Maamuzi ya Chama unayaita ya Mbowe!
 
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hakionekani

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli

Maamuzi ya Chama unayaita ya Mbowe!
Kwanini ameyaita hivyo?
 
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hakionekani

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli
Hata mimi niliwaza sana Hilo!
Mama macho yake yote yalikuwa ktk uchaguzi wa 2025, wasaidizi wake walimpoteza sana.
Lkn hapo mi ndo naaminigi Maombi ya watu wa Mungu!
Mungu aliwspofusha kidogo tu wakaingia chaka!
Yaani wanguwaza kidogo tu, wakaachia uchaguzi wa 2924 uwe huru tu, basi wangekuea wameshinda! Afterall, Urais ccm lazima angejita gaza tu, na angeacha bunge liwe huru, basi!
Sasa ilivyo, mfumo mzima wa uchaguzi utafumuliwa chini ya waangalizi wa kimataifa, na tume ya Kenya itaundwa hapa, na ccm wataingia ktk uchaguzi mgumu sana!
 
Magu Aliyajua yote haya ila Muda ukagoma... Na Bado unagoma ni nguvu ya asili ni kama vile kuzuia mvua.. ni vigumu.

Mtu aliyenusurika kifo.. Ana uchungu mkali sana... Na anaishi na kilema.. Sauti inazidi kupaaa..

Sirikali ingefanya kitu hoja ipo wazi..Mabadilikoo ya sheria ya Uchaguzi, Ifike mahali wawe wazi tujifunze kwa wengine.
 
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hakionekani

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli
Kwakweli mwaka huu mtafanikiwa kuficha aibu maana hamtashiriki uchaguzi.
Sasa chadema mmepata mwenyekiti anaeitisha CCM hayo ni mafanikio makubwa.
Hata CCM wanashukuru kwa ujio was Lissu sababu mwaka huu watashindana na mzee was ubwabwa tuu.
Chadema kazeni hapo hapo msishiriki uchaguzi.
 
Kwakweli mwaka huu mtafanikiwa kuficha aibu maana hamtashiriki uchaguzi.
Sasa chadema mmepata mwenyekiti anaeitisha CCM hayo ni mafanikio makubwa.
Hata CCM wanashukuru kwa ujio was Lissu sababu mwaka huu watashindana na mzee was ubwabwa tuu.
Chadema kazeni hapo hapo msishiriki uchaguzi.
Wewe unafurahia labda kwa sababu ni mnufaika wa mfumo huu wa CCM!
CCM haina jipya tena na siku ikiruhusu uchaguzi huru na wa haki imeisha!
Unataka kutuaminisha kana kwamba wote humu ni wajinga! Uchauguzi wa serkali za mitaa kwa akili yako yaliyotokea ni sawa?
Hao CHADEMA hata wakienda kwenye uchaguzi kwa mfumo na Tume hii Uchwara unadhani kutakuwa na ushindani wa haki?
Nendeni mkashindane na CHAUMA na Mzee Ubwabwa ila kwa mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuunga mkono uchaguzi wa kijinga na kipumbavu kama huu!
 
Wewe unafurahia labda kwa sababu ni mnufaika wa mfumo huu wa CCM!
CCM haina jipya tena na siku ikiruhusu uchaguzi huru na wa haki imeisha!
Unataka kutuaminisha kana kwamba wote humu ni wajinga! Uchauguzi wa serkali za mitaa kwa akili yako yaliyotokea ni sawa?
Hao CHADEMA hata wakienda kwenye uchaguzi kwa mfumo na Tume hii Uchwara unadhani kutakuwa na ushindani wa haki?
Nendeni mkashindane na CHAUMA na Mzee Ubwabwa ila kwa mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuunga mkono uchaguzi wa kijinga na kipumbavu kama huu!
Subiri muda wa kuchukua fomu uone Kama Lissu ataendelea na huo ujinga. Hata wewe Nina uhakika unafuata mkumbo tuu.
Hi ni lopolopo tu ya Lissu atashiriki uchaguzi na wewe utaunga mkono Kila kitu.
Nyumbu hufuata aliye mbele akiingia mtoni wote wanaingia.
 
Usipumbazike rafiki wa kweli wa CCM ni Lissu.
1. Anataka CCM iendelee kuongoza kwa miaka mitatu zaidi
2. Anataka uchaguzi usifanyike ili CCM iendelee kutawala daima.
3. Anataka kuiua chadomo kwa kuzusha migogoro kila siku
 
Subiri muda wa kuchukua fomu uone Kama Lissu ataendelea na huo ujinga. Hata wewe Nina uhakika unafuata mkumbo tuu.
Hi ni lopolopo tu ya Lissu atashiriki uchaguzi na wewe utaunga mkono Kila kitu.
Nyumbu hufuata aliye mbele akiingia mtoni wote wanaingia.
Wewe ni mpumbavu tu! Kwa hiyo unadhani maisha yako ndani ya siasa pekeake eti subiri muda wa kuchukua form!
Nyie machawa na wajinga ndo mnaangusha taifa hili!
 
..kwa kweli nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja.

..Mama Abduli na mkwe wake hawakupaswa kuiba uchaguzi wa serikali za mitaa.

..mauzauza waliyofanya katika serikali za mitaa ndio chanzo cha harakati za No Reforms No Election.
 
Kwakweli mwaka huu mtafanikiwa kuficha aibu maana hamtashiriki uchaguzi.
Sasa chadema mmepata mwenyekiti anaeitisha CCM hayo ni mafanikio makubwa.
Hata CCM wanashukuru kwa ujio was Lissu sababu mwaka huu watashindana na mzee was ubwabwa tuu.
Chadema kazeni hapo hapo msishiriki uchaguzi.
Uchaguzi mpaka sasa ,bila reforms ni batili, kama ni batili ,hata atakaeingia kwenye uchaguzi na kujitangaza ni batili apo sasa ndo Mtajua Dunia.

Mpaka sasa Taifa limeishaingia kwenye Mkwamo wa kisiasa , kama hulioni hili basi utakuwa mwepesi sana kichwani.

Kwa sasa ni swala la kuchutama ili tuoke katika mkwamo huu , tusidanganyane hapa reforms hazikwepeki
 
1. Mbowe rafiki yenu angekuwepo leo
2. No reform no election isingekuwepo leo
3. Lissu na Heche wasingekuwepo kwenye uwenyekiti leo
4. Chadema Nimo isngekuwepo leo wangekuwa wanasubiri pesa za serikali

Kwasababu yamefanywa na Mkwe wetu wa Tamisemi hamsemi lakini ni kosa kubwa kimpangilio. Na mlichopata hakionekani

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Lakini kwa upande mwingine nchi imenufaika na makosa yenu maana sasa kitanuka kweli kweli
Sasa huu upupu ndio nini umeandika, km huna akili kiasi hicho kaazime
 
Back
Top Bottom