Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,119
- 219,233
Hayo yamebainishwa na Benson Kigaila alipokuwa akiongea na waandishi wa habari .
Kuna malalamiko kutoka kwa mtu asiyejulikana ambayo yamewasilishwa kwa Tume ya uchaguzi kuhusu maandamano ya Chadema yaliyofanyika huko Kigogo Mbuyuni na kampeni za nyumba kwa nyumba , kwamba yalifanyika nje ya muda uliopangwa , hata hivyo tume haijamtaja mlalamikaji kama sheria inavyotaka , huku ikishikilia kwamba ni mtu asiyejulikana .
Chanzo - Kigaila akiongea na EATV .
Ukweli - Kwa ccm kumteua msaliti Mtulia hali imekuwa tete vibaya sana !
Kuna malalamiko kutoka kwa mtu asiyejulikana ambayo yamewasilishwa kwa Tume ya uchaguzi kuhusu maandamano ya Chadema yaliyofanyika huko Kigogo Mbuyuni na kampeni za nyumba kwa nyumba , kwamba yalifanyika nje ya muda uliopangwa , hata hivyo tume haijamtaja mlalamikaji kama sheria inavyotaka , huku ikishikilia kwamba ni mtu asiyejulikana .
Chanzo - Kigaila akiongea na EATV .
Ukweli - Kwa ccm kumteua msaliti Mtulia hali imekuwa tete vibaya sana !