CCM maji shingoni Igunga

tumeendelea vizuri na kampeni zetu,wao wanafumaniana sie twapiga kazi
ccm wanawatumia mabalozi kugawa vyandarua,na chakula cha msaada,tumewaambia wananchi,chakula wale,vyandarua wapokee,kura chadema,kimsingi umma wa Igunga umeamka sana,utadhani jimbo la mjini
kwa picha..chadema.tv
 
[h=3][FONT=d742ee695d1fc21828a72a38#681600]CHADEMA Wahutubia Kijijini Nanga Leo[/FONT][/h]Posted by Mjengwa | Friday, September 16, 2011

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbai akihutubia wananchi wa kijiji cha Nanga leo katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo unaendelea jimboni hapa.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) Suzani KiwaNGA akihutubia katika mkutano wa kampeni za uchaguzi kijijini Nanga mapema leo. Picha zote: Victor Makinda[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Sawa mkuu tumekusikia kama uko huko nasikia Nchemba ana kesi ya kubaka mke wa mtu una taarifa zaidi tuhabarishe na hilo.
 
Na jioni hii,ccm wamevamia magazeti wakati yakishushwa Igunga mjini,wakakimbia nayo yote,ili kuzuia watu wa Igunga wasipate habari
Akili ya kizamani kweli kweli
 
<br />
<br />
Pale Nkinga najua CHADEMA watapata kura kutokana na kuwa na watu wengi waelewa! Pia Simbo na Iborogelo Chadema watapata kura za kutosha. Nina wasiwasi vijiji vya ndani kama Sungwizi, Uswaya, Ntigu, Igurubi, na vinginevyo ambavyo ni ngome ya CCM.
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]...Sylvester Kasulumbai akihutubia wananchi wa kijiji cha Nanga [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hapa si mahala pazuri pa kufanyia campaign rally, chama tawala kita score point kwamba kijijini kuna huduma za bara bara za lami ambazo CHADEMA wanafanyia rallys pembeni yake. Kasindye anatakiwa aingie kwenye backwaters of the country, kwenye mapori ya Igunga, akaamshe raia huko, sio kwenye sidewalk ya barabara kuu ya Igunga-Singida. His chief campaign strategist should know better.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…