CCM: Maisha bora kwa kila Mtanzania yapo wapi?

CCM: Maisha bora kwa kila Mtanzania yapo wapi?

MAGEUZI KWELI

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
1,947
Reaction score
254
A%20S%20angel.gif
Nimekuwa nikiumiwa jinsi tunavyodanganywa kama watoto wadogo ambao hata wao kwa karne hii hawadanganyiki tena,
Kampeni za CCM za kwanza chini ya JK ni maisha bora kwa kila Mtanzania, Tukayapiga miaka 5 giza giza, Baadae akaja na king'ora kipya cha Ari Mpya Nguvu mpa na Kasi zaidi, SUBUHANAH WATAALAH, Giza kuliko la mwanzo.

Wenye akili zao wanasema Chama Makini kitakachoweza mletea mtanzania Maendeleo ya Kweli,
Amani na Utulivu ndani ya Nchi vitaletwa na CCM, Chama pekee chenye kuweza kupambana na mafisadi na maskini wa Tanzania. Mkopo umefikia Trillion 21 na kila mtanzania anadaiwa zaidi ya 450,000 mpaka mimba zinadaiwa..
:hurt:Watanzania , Tunakwenda wapi, Tutafika wapi na tutafika je na lini? Watoto wetu watarithi nini na wapi?

I scare CCM i am telling you
A%20S%2039.gif
 
Mkuu usituchonganishe na Rais wetu bila sababu za msingi; inaonekana wewe ndo hukumuelewa Rais wetu vizuri, naomba nkueleweshe na uwe tayari kunielewa;

Rais wetu kipenzi cha Wantanzania alitoa ahadi ifuatayo katika kipindi cha kwanza cha uongozi wake nanukuu "MAISHA BORA KWA KILA MDANGANYIKA" na katika kipindi hiki cha pili aliifanyia modification kidogo ili iendane na mfumo wa Digitali na kusomeka kama ifuatavyo nanukuu "MAISHA BORA KWA KILA MWANAMTANDAO". Asante kwa kunielewa.
 
Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu,Vipi Umeishapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM Mwaka 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa Noo! Ni Mwanaharakati!! Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1,Ni -----
2,Ni Mjinga?
3,Mpumbavu 4,Mwehu
5,Mwendawazim
6,Una Ubongo Wa kuku Yaani Msahaulifu.
Mbona Wenyewe Wana Maisha Bora! Kwanini Wewe Au Wenzetu Sio Watanzania? Kazi Kwako Mwaka 2015 Nikutakie Tafakari Njema,SIKU NJEMA PIA.
 
Nashindwa kuamini hii kauli ya maisha bora kwa kila mtanzani ,kauli inayotolewa na ccm... kinachonipa hofu ni serikali kuwa na madeni lukuki..

1.mifuko ya pension inaidai serikali mabilioni ya pesa.
2.tanesco serikali inamadeni makubwa.
3.mamlaka za maji ,serikali inadeni kubwa sana.
4.MSD serikali inadaiwa pesa nyingi .
5.wastaafu ,wafanyakazi inafikia point mpaka wanastaafu wakiwa hawajalipwa madeni yao
6.nchi za ulaya uko ndiyo usiseme.

sasa kwaali hii kweli serikali ya maghufu itaweza kutukomboa kweli.. au ndiyo inataka kutuzika kabisa.
 
aiseeeeeee
Halafu magufuli haelezei atapatawapi pesa za zaida kulipa madeni na kujenga viwanda anabaki kusema sitawaangusha,tanzania itakuwa nchi ya viwanda...bila kuwa na mikakati..magufuli ataenda kutuzika..trust me
 
UKAWA naomba katika mikutano yenu waulizeni wananchi kama wana maisha bora
mfano''mmepata maisha bora kwa utawala wa Ccm?
 
Maisha bora kwa mila mtanzania!!!!!miaka zaidi ya 50 no ya ulaghai tuu.
 
Maisha bora kwa kila mwanafunzi pia
 

Attachments

  • 1442558506205.jpg
    1442558506205.jpg
    8.8 KB · Views: 46
Mkuu usituchonganishe na Rais wetu bila sababu za msingi; inaonekana wewe ndo hukumuelewa Rais wetu vizuri, naomba nkueleweshe na uwe tayari kunielewa;

Rais wetu kipenzi cha Wantanzania alitoa ahadi ifuatayo katika kipindi cha kwanza cha uongozi wake nanukuu "MAISHA BORA KWA KILA MDANGANYIKA" na katika kipindi hiki cha pili aliifanyia modification kidogo ili iendane na mfumo wa Digitali na kusomeka kama ifuatavyo nanukuu "MAISHA BORA KWA KILA MWANAMTANDAO". Asante kwa kunielewa.

Umeua kamanda
 
Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu,Vipi Umeishapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM Mwaka 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa Noo! Ni Mwanaharakati!! Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa Ahadi Wanakuonaje Wewe?
1,Ni -----
2,Ni Mjinga?
3,Mpumbavu 4,Mwehu
5,Mwendawazim
6,Una Ubongo Wa kuku Yaani Msahaulifu.
Mbona Wenyewe Wana Maisha Bora! Kwanini Wewe Au Wenzetu Sio Watanzania? Kazi Kwako Mwaka 2015 Nikutakie Tafakari Njema,SIKU NJEMA PIA.

Watz hayo yote ni majibu kwetu
 
Back
Top Bottom