CCM lazima iteleze kati ya haya matatu

CCM lazima iteleze kati ya haya matatu

chakufia nini

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
692
Reaction score
456
Watanzania wameamka, CCM lazima iteleze, isipoteleza kwenye urais bara basi itateleza kwenye wabunge,ikipenya kwenye wabunge basi Zanzibar haitatoka naamini kwa vyovyote vile Tanzania mpya inakuja.

Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom