CCM kwanini hamuongelei maovu yanayoendelea kwenye chama chenu?

CCM kwanini hamuongelei maovu yanayoendelea kwenye chama chenu?

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
16,769
Reaction score
15,550
Makamu wa rais anapotezwa watamzania kimya,maelfu wameuawa watu kimya.Haya ccm nyote mlikuwa mnachuki na Nchimbi?

Ni Mzee Warioba tu aliyeongea wengine wote kimya.

Ina maana Nchimbi hakuwa na watu huko CCM? Wangoni nanyi hamna kitu, mwanenu anapotezwa nyie mmekalia tu mambo yenu yaleee.

Inasikitisha sana
 
Ccm wao wapo busy na tone tone ya chadema kutekwa au kumpotezea kwa mwana CCM yeyote haiwahusu kabisaaa Ila wakumbuke hiii NI zamu kwa zamu hakuna Alie salama chini ya CCM uchawa.
 
Back
Top Bottom