johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,039
Kwa kawaida Kiongozi wa serikali akitembelea jimbo basi Mbunge na madiwani ndio huwa wenyeji wake
Mbunge asipokuwepo basi Katibu wa mbunge ndio atatoa salamu za Mbunge kwa mgeni na kwa Wananchi
Ulega ulichomfanyia Jerry Silaa ujue Mungu amekuona
Niishie hapo
Mbunge asipokuwepo basi Katibu wa mbunge ndio atatoa salamu za Mbunge kwa mgeni na kwa Wananchi
Ulega ulichomfanyia Jerry Silaa ujue Mungu amekuona
Niishie hapo