Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Kama kawaida ya CCM kutokutumia akili inapofika masuala ya kujibu hoja zilizoibuliwa bali kumtumia mbunge wa Mtera Lusinde au wa Geita Musukuma ambao hawana elimu ya kuelewa wanapaswa kusema nini kwa wakati gani, wamefungulia mjadala zaidi dhidi ya matendo ya hovyo yaliyotendwa na Magufuli na watu wake katika awamu ya tano.
CCM inadhani Lusinde kumshambulia Mbowe na Chadema bungeni huku akishangiliwa na wabunge wa CCM wakiongozwa na PM Majaliwa (ambaye leo amejionyesha kuwa he is too low for the post) basi jamii ya kitanzania itawaona wanawatetea kumbe inaongeza gap lililopo na hasira kwao.
Maumivu ya Mbowe kuhusu TRA mtu akiyabeza ajue anajenga hasira na kundi kubwa la wafanyabiashara na watumishi wao pia familia zao ambazo zimeyaona machungu ya aina hiyo.
SASA WAKAE MKAO WA KILIO KWANI MASHAMBULIZI DHIDI YA HUYO WANAYEMTETEA NDIO WAMEYAIDHINISHA RASMI WENYEWE.
Mwenda zake na vibaraka wake waliobaki duniani mbona watashangaa!
CCM inadhani Lusinde kumshambulia Mbowe na Chadema bungeni huku akishangiliwa na wabunge wa CCM wakiongozwa na PM Majaliwa (ambaye leo amejionyesha kuwa he is too low for the post) basi jamii ya kitanzania itawaona wanawatetea kumbe inaongeza gap lililopo na hasira kwao.
Maumivu ya Mbowe kuhusu TRA mtu akiyabeza ajue anajenga hasira na kundi kubwa la wafanyabiashara na watumishi wao pia familia zao ambazo zimeyaona machungu ya aina hiyo.
SASA WAKAE MKAO WA KILIO KWANI MASHAMBULIZI DHIDI YA HUYO WANAYEMTETEA NDIO WAMEYAIDHINISHA RASMI WENYEWE.
Mwenda zake na vibaraka wake waliobaki duniani mbona watashangaa!