Leo ndugu zangu nimecheka sana baada ya kusikia malalamiko ya Chadema kuhusu M4C yao. Eti hawa wazee wetu wakaskazini wanataka kwenda mahakamani kuishtaki CCM kwa kuiba nembo yao. Kwangu jamaa wameshindwa siasa na kuanza kutapatapa.
Hizi ni dalili za kuwa game linawabadilikia. Wanatafuta huruma ya wananchi. Mara ngapi viongozi wa Chadema wanaelezea CCM Kama Chama Cha Majambazi? Mbona CCM haijapanick? M4C ni nembo iko kila sehemu duniani. Kwanza Chadema waliidesa kutoka kwa Besigje wa Uganda katika harakati zake za Kisiasa. Na pili, Chadema haina haki miliki ya hio nembo.
Hivi miezi miwili iliyopita Chadema walikuwa na mgombea rais? Naomba niwashauri na CCM nao waende mahakamani kuishtaki Chadema kwa kuwaibia mgombea wa Urais. Kila mwanasiasa anayeleta chachu sasa hivi kwenye harakati za Chadema ametoka CCM. Sasa najiuliza anayeleta copy na kupaste ni nani hasa? Eti hawa Chadema ndio wanataka kutawala nchi.
Kwa hoja dhaifu Kama hizi, hawapati kitu.
Hizi ni dalili za kuwa game linawabadilikia. Wanatafuta huruma ya wananchi. Mara ngapi viongozi wa Chadema wanaelezea CCM Kama Chama Cha Majambazi? Mbona CCM haijapanick? M4C ni nembo iko kila sehemu duniani. Kwanza Chadema waliidesa kutoka kwa Besigje wa Uganda katika harakati zake za Kisiasa. Na pili, Chadema haina haki miliki ya hio nembo.
Hivi miezi miwili iliyopita Chadema walikuwa na mgombea rais? Naomba niwashauri na CCM nao waende mahakamani kuishtaki Chadema kwa kuwaibia mgombea wa Urais. Kila mwanasiasa anayeleta chachu sasa hivi kwenye harakati za Chadema ametoka CCM. Sasa najiuliza anayeleta copy na kupaste ni nani hasa? Eti hawa Chadema ndio wanataka kutawala nchi.
Kwa hoja dhaifu Kama hizi, hawapati kitu.