Katemi Methsela
Member
- Dec 7, 2012
- 6
- 7
Leo Dkt J.P Magufuli ataonekana katika majukwaa yote ya CCM Tanzania. Kuna Screen kubwa sana zitafungwa kurusha mkutano wake Live.Tv Stations 5 na Radio 67 zitakuwa zikirusha matangazo ya kampeni za JPM moja kwa moja.
Leo wapo alipokuwa JPM jana.Maarifa '0'
Unakaa unafurahia Ujio wa Kingunge, hujiulizi yu-wapi, Dk.Slaa, Lipumba, MM/Kiti NCCR, Katibu NCCR. hii ni Mtu anakupa pera anachukua Gold
Nilidhani kupatikana kwa Magufuli tungeshukuru anyway Mungu yupo nasi hatuwezi kuuza nchi kwa wapiga dili.Kura yako Mpe Magufuli.
Hatuwezi kujenga utaratibu utakaozuia kabisa makosa ila tunatazamia yakifanyika wahusika wawajibike #ChaguaMagufuli
Mwacheni tu ashinde huu Uchaguzi. JPM kapiga mzigo. Mnyonge mnyongeni.
Mungu anajua tunataka nini na atatupati, haijalishi wangapi wanapinga kwa nguvu za dilari ila tutafika.
Kwanini uendelee kuwaza nani wa kumpigia kura wakati kiongozi mchapakazi Dkt J.P Magufuli anajulikana fika.
Ukawa wanaambiana oh mchana wapishe watu wewe simama tu kwenye foleni kulinda kura.Zipo juani pale nanai ataziiba? mmasai kulinda ATM? He He He.
Wameanza kusingizia kura za maruhani. Mara mama Nagu, mara Njombe. Kweli mfa maji haachi kutapatapa.
- Ukimheshimu Mjinga, huwa anajiona yeye ndio mjanja
Kwenye chaguzi tuwe na Political Tolerance, tuko chini ya utawala wa vyama vingi, heshimu mawazo ya kila mmoja and be a reasonable citzen
Leo wapo alipokuwa JPM jana.Maarifa '0'
Unakaa unafurahia Ujio wa Kingunge, hujiulizi yu-wapi, Dk.Slaa, Lipumba, MM/Kiti NCCR, Katibu NCCR. hii ni Mtu anakupa pera anachukua Gold
Nilidhani kupatikana kwa Magufuli tungeshukuru anyway Mungu yupo nasi hatuwezi kuuza nchi kwa wapiga dili.Kura yako Mpe Magufuli.
Hatuwezi kujenga utaratibu utakaozuia kabisa makosa ila tunatazamia yakifanyika wahusika wawajibike #ChaguaMagufuli
Mwacheni tu ashinde huu Uchaguzi. JPM kapiga mzigo. Mnyonge mnyongeni.
Mungu anajua tunataka nini na atatupati, haijalishi wangapi wanapinga kwa nguvu za dilari ila tutafika.
Kwanini uendelee kuwaza nani wa kumpigia kura wakati kiongozi mchapakazi Dkt J.P Magufuli anajulikana fika.
Ukawa wanaambiana oh mchana wapishe watu wewe simama tu kwenye foleni kulinda kura.Zipo juani pale nanai ataziiba? mmasai kulinda ATM? He He He.
Wameanza kusingizia kura za maruhani. Mara mama Nagu, mara Njombe. Kweli mfa maji haachi kutapatapa.
- Ukimheshimu Mjinga, huwa anajiona yeye ndio mjanja
Kwenye chaguzi tuwe na Political Tolerance, tuko chini ya utawala wa vyama vingi, heshimu mawazo ya kila mmoja and be a reasonable citzen