MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 560
- 320
Chama cha mapinduzi wilayani kahama kupitia msemaji wake jina tunamhifadhi amesena,"atakayechaguliwa na chama wilayani ndiye watamuunga mkono"hii ni kutokana na maneno ya watu mtaani kuwa chama hicho hakimtaki anaetetea kiti cha ubunge jimboni humo,hivyo wanachama wanashauriwa kuchagua waneona anafaa kuwa wa kahama.