CCM Jimbo la Ukonga Takrima nje nje

CCM Jimbo la Ukonga Takrima nje nje

CCM inawashukuru sana kwa kuanza kuwapigia promo wagombea wake huku wakwenu wakiwa hawajulikani kabisa.
HAO SI WAGOMBEA WEMA, WANACHAFUA CHAMA ! CCM MPYA HAIHITAJI WATOA/WAPOKEA RUSHWA ! VIONGOZI WA CCM MKOA& WILAYA INABIDI WA CHIP IN HILI SUALA!
 
Wanajisumbua tu. Ukonga imeshapata mbunge makini mwenye kuweza kutatua changamoto za wananchi na sio wasaka tonge. Mie nasubiri ku apishwa tu kwa kuwa na imani chama changu kitanipitisha!
 
Mm ni mpiga kura wa Ukonga. Kituo changu ni Dispensari-Matembele 1.
Mh Asia Msangi(CDM) ndiyo mbunge wetu 2020,labda ashindwe mwenyewe kulinda kura zake.

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
CCM atakaye shinda ni mhindi mbona(Kama ataweza na yy kulinda kura zake kutoka kwa Meya Slaa)


Sent from my iPhone using JamiiForums
Muhindi APUMZIKE , ITS TOO MUCH ....KAMA LIPUMBA. TANGU 2000 HADI LEO SNAGOMBEA TUU LOL ! WATUACHE WANA UKONGA, TUNAHITAJI SURA MPYA NA MAWAZO MAPYA ! AKINA CHACHA, SLAA, ASIA NK TUSHAWAONA TUMEWACHOKA !
CCM TULETEENI NEW FACE sio hawa akina Mazoea !
 
Chipoku,
Hakuna hata picha ya video ya watu wakivuta mpunga? "Hearsay evidence is not admissible". Au utatoa ushahidi Pccb?
 
Wana Ukonga wenzangu. Hakuna kulala ni mwendo wa kulinda kura kwa nguvu zote hatutaki kupangiwa au kutangaziwa mbunge wa chama cha mafala ameshinda.
 
Back
Top Bottom