Chipoku
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 254
- 181
Mh Meya mstaafu kashaanza kutoa takrima kwa Wenyeviti wa Kata katika Jimbo la ukonga kama kawaida yake . Njooni Ukonga mfaidi tu.
Mwanzoni mwa wiki hii Jerry Slaa alikuwa na Kikao na Viongozi wa CCM Kata za Buyuni na Pugu. Kikaoni kulikuwa na wajumbe 20 na kila mmoja aliondoka na 30,000/= ili wasije kumwangusha wakati wa kura za maoni ndani ya Chama.
Huko Kata ya Kivule Werema nae hakubaki nyumba, amefanikiwa kukutana na viongozi wa Kata hiyo pamoja na mitaa yake na wahudhuriaji wakafanikiwa kuondoka na 20,000/= kila mmoja.
Huku Jeri Slaa alipata utata baada ya mjumbe mmoja (mwakilishi wa wazaxi wilaya) kukataa kitita na kuahidi kulipeleka suala hili CCM Wilaya Ilala.
Ngoja tuone nani ni nani!
Mwanzoni mwa wiki hii Jerry Slaa alikuwa na Kikao na Viongozi wa CCM Kata za Buyuni na Pugu. Kikaoni kulikuwa na wajumbe 20 na kila mmoja aliondoka na 30,000/= ili wasije kumwangusha wakati wa kura za maoni ndani ya Chama.
Huko Kata ya Kivule Werema nae hakubaki nyumba, amefanikiwa kukutana na viongozi wa Kata hiyo pamoja na mitaa yake na wahudhuriaji wakafanikiwa kuondoka na 20,000/= kila mmoja.
Huku Jeri Slaa alipata utata baada ya mjumbe mmoja (mwakilishi wa wazaxi wilaya) kukataa kitita na kuahidi kulipeleka suala hili CCM Wilaya Ilala.
Ngoja tuone nani ni nani!