GE2025 CCM itashinda viti vyote vya ubunge nchi nzima uchaguzi mkuu wa 29 Octoba, 2025

GE2025 CCM itashinda viti vyote vya ubunge nchi nzima uchaguzi mkuu wa 29 Octoba, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,836
Hili ni jambo la kipekee sana linakwenda kutokea nchini kwetu baada ya uchaguzi mkuu wa kihistoria wa oct.29,2025. Uhakika wa ushindi wa kishindo kwa ccm ni wa kiwango cha juu sana, kwasababu chama hicho tawala chenye wafuasi na wanachama wengi zaidi nchini, na kinachopendwa zaidi na wananchi wote wa Tanzania, kinakwenda kuibuka na ushindi wa kishindo katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.

Na kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya CCM vya uteuzi, watia nia waliopigiwa kura za maoni na wajumbe watajadiliwa na kuidhinishwa na kamati kuu ya ccm taifa na kuthibitishwa na halmashauri kuu ya ccm taifa mnamo Aug.23,2025, zikiwa zimesalia siku3 tu kabla ya zoezi la kuchukua na kurejesha fomu tume huru ya taifa ya uchaguzi kuhitimishwa rasmi. Hakuna muda wa kuvuka boda kwa watakaokasirika wakikatwa.

Kumbuka,
Uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani kulingana na tume huru ya uchaguzi Tanzania ni Aug.27,2025 na kampeni rasmi za uchaguzi mkuu ni Aug.28, 20925.

Jambo la muhimu kwa watia nia wa ccm ni kujiandaa kisaikolojia Aug.23,2025 wakati makala anafanya yake live.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
 
😂

Raha ya ngoma ya Tokomile ni kuchapana fimbo/bakora

Raha ya mdundiko ni kujiunga bila kujua mwali yuko wapi
 
😂

Raha ya ngoma ya Tokomile ni kuchapana fimbo/bakora

Raha ya mdundiko ni kujiunga bila kujua mwali yuko wapi
hizo ni ngoma au tambiko gentleman?

kumbuka,
uchaguzi mkuu wa kihistoria Tanzania ni oct.29,2025. :NoGodNo:
 
Tuchukulie kuwa unachokisema ni kweli. So what? Kama ni CCM hii hii, ushindi huo wa 100% utakuwa na faida gani kwa Mtanzania wa kawaida?

CHAUMMA hamtawapa hata jimbo moja?
wajibu wangu ni kukuandaa kisaikolojia tu gentleman ndio maana nayasema haya mambo ya msingi mapema ili isije kua suprise kwako baadae.

miongoni mwa faida kubwa watakazofaidika nazo waTanzania,
ni kwamba maendeleo yatawafikia wananchi huko waliko kwa kasi ya viwango vya kimataifa.

CHAUMMA wasubiri chaguzi za miaka ijayo gentleman :NoGodNo:
 
Hili ni jambo la kipekee sana linakwenda kutokea nchini kwetu baada ya uchaguzi mkuu wa kihistoria wa oct.29,2025. Uhakika wa ushindi wa kishindo kwa ccm ni wa kiwango cha juu sana, kwasababu chama hicho tawala chenye wafuasi na wanachama wengi zaidi nchini, na kinachopendwa zaidi na wananchi wote wa Tanzania, kinakwenda kuibuka na ushindi wa kishindo katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.

Na kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya CCM vya uteuzi, watia nia waliopigiwa kura za maoni na wajumbe watajadiliwa na kuidhinishwa na kamati kuu ya ccm taifa na kuthibitishwa na halmashauri kuu ya ccm taifa mnamo Aug.23,2025, zikiwa zimesalia siku3 tu kabla ya zoezi la kuchukua na kurejesha fomu tume huru ya taifa ya uchaguzi kuhitimishwa rasmi. Hakuna muda wa kuvuka boda kwa watakaokasirika wakikatwa.

Kumbuka,
Uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani kulingana na tume huru ya uchaguzi Tanzania ni Aug.27,2025 na kampeni rasmi za uchaguzi mkuu ni Aug.28, 20925.

Jambo la muhimu kwa watia nia wa ccm ni kujiandaa kisaikolojia Aug.23,2025 wakati makala anafanya yake live.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Itashinda kwani mnashindana au mnakamilisha ratiba? Vile viti mmewadanganya Chauma hamuwapi tena?
 
Hili ni jambo la kipekee sana linakwenda kutokea nchini kwetu baada ya uchaguzi mkuu wa kihistoria wa oct.29,2025. Uhakika wa ushindi wa kishindo kwa ccm ni wa kiwango cha juu sana, kwasababu chama hicho tawala chenye wafuasi na wanachama wengi zaidi nchini, na kinachopendwa zaidi na wananchi wote wa Tanzania, kinakwenda kuibuka na ushindi wa kishindo katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.

Na kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya CCM vya uteuzi, watia nia waliopigiwa kura za maoni na wajumbe watajadiliwa na kuidhinishwa na kamati kuu ya ccm taifa na kuthibitishwa na halmashauri kuu ya ccm taifa mnamo Aug.23,2025, zikiwa zimesalia siku3 tu kabla ya zoezi la kuchukua na kurejesha fomu tume huru ya taifa ya uchaguzi kuhitimishwa rasmi. Hakuna muda wa kuvuka boda kwa watakaokasirika wakikatwa.

Kumbuka,
Uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani kulingana na tume huru ya uchaguzi Tanzania ni Aug.27,2025 na kampeni rasmi za uchaguzi mkuu ni Aug.28, 20925.

Jambo la muhimu kwa watia nia wa ccm ni kujiandaa kisaikolojia Aug.23,2025 wakati makala anafanya yake live.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.

La ajabu ni lipi kwa sheria hizo na Chauma na ACT vyama vya CCM . Matokeo tayari yapo namba za uongo zimesha tengenezwa tayari uchaguzi utakuwa geresha tu. Lakini Mungu ata wa surprise
 
huo uropokaji unamtesa kweli huyo kibaraka kwa sasa aise dah :pedroP:
Nasemaje,

Bila Reforms kufanyika kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya,

Uchaguzi batili UTAYEYUKA, tutakinukisha kweli kweli.

NRNE 💪 🔥
 
Tuchukulie kuwa unachokisema ni kweli. So what? Kama ni CCM hii hii, ushindi huo wa 100% utakuwa na faida gani kwa Mtanzania wa kawaida?

CHAUMMA hamtawapa hata jimbo moja?
Ushindi upi?
Uchaguzi upi? Wapi?
Kuna uchaguzi Tanzania?
Tanzania kuna maigizo ya Akina Salum mwalimu kuigiza na mkoloni kaburu toka Zanzibar, uchaguzi bila chadema huo si uchaguzi
 
Nasemaje,

Bila Reforms kufanyika kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya,

Uchaguzi batili UTAYEYUKA, tutakinukisha kweli kweli.

NRNE 💪 🔥
let me confirm to you and to your fellow political goons and bandits, that without fear of contradictions, mtanuka mwenyewe on the spot.

uchaguzi wa amani ni october29,2025.:NoGodNo:
 
Hili ni jambo la kipekee sana linakwenda kutokea nchini kwetu baada ya uchaguzi mkuu wa kihistoria wa oct.29,2025. Uhakika wa ushindi wa kishindo kwa ccm ni wa kiwango cha juu sana, kwasababu chama hicho tawala chenye wafuasi na wanachama wengi zaidi nchini, na kinachopendwa zaidi na wananchi wote wa Tanzania, kinakwenda kuibuka na ushindi wa kishindo katika majimbo yote ya uchaguzi nchini.

Na kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya CCM vya uteuzi, watia nia waliopigiwa kura za maoni na wajumbe watajadiliwa na kuidhinishwa na kamati kuu ya ccm taifa na kuthibitishwa na halmashauri kuu ya ccm taifa mnamo Aug.23,2025, zikiwa zimesalia siku3 tu kabla ya zoezi la kuchukua na kurejesha fomu tume huru ya taifa ya uchaguzi kuhitimishwa rasmi. Hakuna muda wa kuvuka boda kwa watakaokasirika wakikatwa.

Kumbuka,
Uteuzi wa wagombea urais, ubunge na udiwani kulingana na tume huru ya uchaguzi Tanzania ni Aug.27,2025 na kampeni rasmi za uchaguzi mkuu ni Aug.28, 20925.

Jambo la muhimu kwa watia nia wa ccm ni kujiandaa kisaikolojia Aug.23,2025 wakati makala anafanya yake live.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi. :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania.
Hakuna uchaguzi Tanzania haya maigizo ya kuchezea pesa za walipa kodi bora mjitangaze Ufalume kusiwepo na huu uchaguzi hewa feki wa magumashi kupoteza pesa za walipa kodi bure
 
huo uropokaji unamtesa kweli huyo kibaraka kwa sasa aise dah :pedroP:
Umekariri uropokaji wewe kibaraka wa mkoloni kaburu Dikteta toka Zanzibar mmeikalia Tanganyika kimabavu sasa inaenda kudai Uhuru wake, muungano Ufe kila mmoja akae kwake wewe kibaraka wa Kaburu akaishi pemba na kuwa mvuvi
 
Punguza upumbavu hakuna uchaguzi mwaka huu mpaka kesi ya Maliza iamuliwe.
 
Back
Top Bottom