Haya macho yaso mfano kwa uzuri, mdomo anavyouchezesha kwa matao, na nyimbo yenye vionjo vinavyomvutia kijana yeyote, ama hakika kijana ana kila sababu ya kumpigia kura Maguful na CCM yake.
Sera na mambo mengine wapelekee wasomi waandika tafiti, na wazee ambao mambo haya yameshawapita, hapa kama vijana tunataka mambo haya. Hongera CCM kwa hili, vyama vingine viige hili kwakweli, husani wazee wa kudeki barabara.
Kwa pamoja tuseme CCM OYEEEEEE,
MAGUFU SELEMAAAA
MREMBO SELEMAAAA
VIJANA SELEMAAA
Haya macho yaso mfano kwa uzuri, mdomo anavyouchezesha kwa matao, na nyimbo yenye vionjo vinavyomvutia kijana yeyote, ama hakika kijana ana kila sababu ya kumpigia kura Maguful na CCM yake.
Sera na mambo mengine wapelekee wasomi waandika tafiti, na wazee ambao mambo haya yameshawapita, hapa kama vijana tunataka mambo haya. Hongera CCM kwa hili, vyama vingine viige hili kwakweli, husani wazee wa kudeki barabara.
Kwa pamoja tuseme CCM OYEEEEEE,
MAGUFU SELEMAAAA
MREMBO SELEMAAAA
VIJANA SELEMAAA
TATIZO LAKO HUFATILII SIASA ZA ZITTO KWA SABABU YA CHUKI ZA KIJINGA. HILO ALISHALIELEZA TARATIBU ZA XHAMA ZIKO WAZI ASHINDE AU ASISHINDE ANNA ATAKABIDHIWA JUKUM HILO BAADA YA UCHAGUZI. ACT ni chama cha misingi sio kama chenu hicho lowasa kakinunua. na subiri apigwe chini uone mtakavyokimbiana