CCM itaepukaje kikombe hiki?

CCM itaepukaje kikombe hiki?

CCM na synovate yao.

UKAWA na uhalisia wa field.
 
CCM na synovate yao.

UKAWA na uhalisia wa field.

Hizo takwimu zao za kupika wala haziwasaidii sanasana zinachochea hasira za wananchi kuwakataa CCM.
 
Nipo hapa Kahama Magufuli anakuja jioni ya leo kwa kweli shamra shamra ni za kawaida mno nadhani kwa sasa watajua wnanchi wanawaza nini
 
Goli la mkono lazima liandaliwe mapema, na ndiyo maana ile cross ilipigwa upande wa kushoto na Diego Maradona akaruka hakuufikia mpira ikabidi aongezee mkono kidogoo tu - Waingeleza wakawa wamelia kilio cha mbwa mwizi.

Sasa hizo cross ndiyo akina Twaweza, Synovate na wengineo wengi watakaojitokeza, ili kujaribu kuhadaa watazamaji wa mpambano (wapiga kura) na Marefa (Tume ya uchaguzi) kwamba kama ikitokea likafungwa watu washishangae.

Lakini ki-uhalisia ndugu zangu, tukiweka ushabiki kando wa kisiasa - Lowassa anatisha!! anakubalika na hana mpinzani!! h
 
Back
Top Bottom