loisaibulu
Member
- Mar 20, 2014
- 9
- 0
Kuna wanaoamini kuwa mwisho wa ccm ni mwaka 2015. Hao wanajidanganya lakini lolote laweza kutokea watanzania. Hakuna dalili kuwa chama cha mapinduzi kitapoteza kiti chake cha urais kwa mara ya kwanza. Ni vigumu sana. Unajua ugumu uko wapi? Watanzania wengi bado wana imani na chama hiki kukongwe nchini kuliko xote. Pia watanzania wengi huogopa sana pilikapilika za mabomu na risasi ktk machafuko. Ccm inategemea jshi la.police kushinda. Mathalan Chadema imepata nguvu hasa ktk kata na ubunge. Kuna uwezekano rais kutoka ccm na wabunge wa chadema kuwa wengi