Ni sababu gani zimewafanya CCM kukimbilia kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Nini kimewakuta na kuwasibu ? Wanaitegemea Tume ya uchaguzi kuliko Mungu, wamehisi kitu gani?
Sasa niwaulize siku nayo ikifika vyombo hivi vikawageuka na kuwaepuka CCM ,yaani umefikia wakati wa vyombo hivi kuwaambia CCM wapigane na hali yao ,Je mwenyekiti wa CCM ambae ndie raisi ataivunja Tume na kuchaguzi ngingine?
Akuna asiejua na kuelewa kuwa hapa tulipofikia CCM imewekwa kwenye kona,wamebaki CCM watetezi ambao hawajai hata kiganja, mbinu na hila zao ni lazima wawatumie CCM wavaa sare tu, ambao ni wengi na wamo katika kupanga mipango yao miovu,ndio unakuta washiriki na njia zote ovu wanazozipanga zinakuwepo uwanjani,jambo ambalo linawatia dosari polisi na tume yenyewe.
Mwisho wa siku polisi wanasema ni amri kutoka juu, mwisho wa siku wanajitetea kuwa wanamlinda Tundu Lisu, Sasa sasa umefikia wakati polisi wawambie CCM watetezi tumieni vijana wenu wanaoogopa nyuki kwenye hio mipango yenu miovu, UVCCM ambao ni magoigoi kupindukia.
Kuna siku vyombo hivi vitawageukia CCM ni suala la muda tu, WaTanzania wa sasa ni bora wajifie kuliko kuendelea kuongozwa kimbuzi maisha ya vuta nikuvute, na hawa CCM watetezi wajijue wanahesabika na hawana nguvu ya kuushinda umma ,umma umebadilika sio ule wa piga tajame.
Hivi vyombo wanavyovitegemea CCM ni vyombo vya waTanzania wote katika mechi hii hawatakiwi kukingia kifua upande mmoja,mpaka wanaopachua bendera mnatumwa kuwalinda,mnatakiwa mmfanyiwe Upemba tu, maana Pemba UVCCM wamekoma kupachua bendera muulizeni Bashiru alipokwenda kwa kishindo Pemba alindoka na kurudi kimyakimya, unapachua bendera kwenye tawi la ACT, Wapemba wanakukamata hata kama kuna polizi na mizinga,wanakuvua suruali arafu wanakwambia potea haraka kabla hawajakunwea tende aka kangara.
Hapa Tanganyika naona bado mnawachekea UVCCM, mbele ya vyombo vya sheria na wao wanawajibika kama nyinyi ni aibu ya kimaaifa polisi kumlinda UVCCM kushusha bendera ya chama kingine au kuondoa picha za wagombea.
Mimi nawaomba tu UVCCM muache hio tabia anekutuma kama amekupa hela na kukunywesha temo ili kukuondoa akili,wewe hizo hela kula na mwambie ulipofika bendera hukuiona,asikutafutie kifo kwa maslahi yake.
Sasa niwaulize siku nayo ikifika vyombo hivi vikawageuka na kuwaepuka CCM ,yaani umefikia wakati wa vyombo hivi kuwaambia CCM wapigane na hali yao ,Je mwenyekiti wa CCM ambae ndie raisi ataivunja Tume na kuchaguzi ngingine?
Akuna asiejua na kuelewa kuwa hapa tulipofikia CCM imewekwa kwenye kona,wamebaki CCM watetezi ambao hawajai hata kiganja, mbinu na hila zao ni lazima wawatumie CCM wavaa sare tu, ambao ni wengi na wamo katika kupanga mipango yao miovu,ndio unakuta washiriki na njia zote ovu wanazozipanga zinakuwepo uwanjani,jambo ambalo linawatia dosari polisi na tume yenyewe.
Mwisho wa siku polisi wanasema ni amri kutoka juu, mwisho wa siku wanajitetea kuwa wanamlinda Tundu Lisu, Sasa sasa umefikia wakati polisi wawambie CCM watetezi tumieni vijana wenu wanaoogopa nyuki kwenye hio mipango yenu miovu, UVCCM ambao ni magoigoi kupindukia.
Kuna siku vyombo hivi vitawageukia CCM ni suala la muda tu, WaTanzania wa sasa ni bora wajifie kuliko kuendelea kuongozwa kimbuzi maisha ya vuta nikuvute, na hawa CCM watetezi wajijue wanahesabika na hawana nguvu ya kuushinda umma ,umma umebadilika sio ule wa piga tajame.
Hivi vyombo wanavyovitegemea CCM ni vyombo vya waTanzania wote katika mechi hii hawatakiwi kukingia kifua upande mmoja,mpaka wanaopachua bendera mnatumwa kuwalinda,mnatakiwa mmfanyiwe Upemba tu, maana Pemba UVCCM wamekoma kupachua bendera muulizeni Bashiru alipokwenda kwa kishindo Pemba alindoka na kurudi kimyakimya, unapachua bendera kwenye tawi la ACT, Wapemba wanakukamata hata kama kuna polizi na mizinga,wanakuvua suruali arafu wanakwambia potea haraka kabla hawajakunwea tende aka kangara.
Hapa Tanganyika naona bado mnawachekea UVCCM, mbele ya vyombo vya sheria na wao wanawajibika kama nyinyi ni aibu ya kimaaifa polisi kumlinda UVCCM kushusha bendera ya chama kingine au kuondoa picha za wagombea.
Mimi nawaomba tu UVCCM muache hio tabia anekutuma kama amekupa hela na kukunywesha temo ili kukuondoa akili,wewe hizo hela kula na mwambie ulipofika bendera hukuiona,asikutafutie kifo kwa maslahi yake.