Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,451
Hivi CCM si huwa inasema kwamba CHADEMA ni chama cha kikabila na kikanda. Humu Jf mashabiki wa CCM huiita CHADEMA "chagadema" na chama cha kifamilia. Hao wanachama wa CHADEMA wanaojiunga CCM toka CHADEMA si watu wenye siasa za kikabila na kikanda? Au tatizo la wachaga ni wakiwa CHADEMA tu ila wakienda CCM hakuna shida?