BABAAKUBWA
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 120
- 27
Serkali ya ccm chini ya rais Kikwete inapaswa kuwaomba radhi watanzania kwa aibu na fedheha iliyoliletea taifa letu.
Leo hii watanzania tunadharauliwa na majirani zetu wote Malawi,Rwanda, Uganda,Kenya wanatutdharau na kuona hatufai kutokana na uongozi mbovu wa Rais na mawaziri wake ambao hupenda kufanya mambo (hata kama hayana maslahi kwa taifa na watu wake) ili mradi tu wasifiwe na marekani
Wakati majirani zetu (Kenya&Rwanda) wanaelekeza nguvu zao katika kuzijenga na kuziendeleza nchi zao kijamii,kiuchumi na kisiasa kwa maslahi ya watu wao; huku kwetu watawala wetu,rais na mawaziri wake wanaendeleza hujuma dhidi ya raia na rasilimali za nchi hii kwa maslahi ya wazungu ili wacfiwe!
Mfano, leo Rwanda imeendelea kutokana na vikosi vyake vilivyoko DRC.Je!sisi vikosi vyetu kule DRC ni kwa maslahi ya nani kama siyo ya OBAMA,MAREKANI kwa malipo ya misifa kibao huku resources zetu zikiteketea for nothing else?Raia waliouawa na polisi N'mongo na Mtwara ni kwa maslahi ya nani?
CCM MNA TUHUMA YA KUJIBU 2015.
Leo hii watanzania tunadharauliwa na majirani zetu wote Malawi,Rwanda, Uganda,Kenya wanatutdharau na kuona hatufai kutokana na uongozi mbovu wa Rais na mawaziri wake ambao hupenda kufanya mambo (hata kama hayana maslahi kwa taifa na watu wake) ili mradi tu wasifiwe na marekani
Wakati majirani zetu (Kenya&Rwanda) wanaelekeza nguvu zao katika kuzijenga na kuziendeleza nchi zao kijamii,kiuchumi na kisiasa kwa maslahi ya watu wao; huku kwetu watawala wetu,rais na mawaziri wake wanaendeleza hujuma dhidi ya raia na rasilimali za nchi hii kwa maslahi ya wazungu ili wacfiwe!
Mfano, leo Rwanda imeendelea kutokana na vikosi vyake vilivyoko DRC.Je!sisi vikosi vyetu kule DRC ni kwa maslahi ya nani kama siyo ya OBAMA,MAREKANI kwa malipo ya misifa kibao huku resources zetu zikiteketea for nothing else?Raia waliouawa na polisi N'mongo na Mtwara ni kwa maslahi ya nani?
CCM MNA TUHUMA YA KUJIBU 2015.