Ni baada ya kugundua mgombea wao kumbe uwezo wake ni kukumbuka idadi ya kilometa za barabara kwa kichwa tuu na sio zaidi ya hilo.
Sasa wale wa Vijijini ambako hata rangi ya lami hawaijui zile mbwembwe za kilometa mia saba nukta tatu tano point zero five zitasaidia nini?
Kaka Laigwanan kesha maliza kazi magamba yamebaki yañàkanyagana
JK ameonekana akitokwa povu mithili ya mtu aliyemeza sabuni ya omo.
mbona hueleki ccm imepaniki ccm imepaniki mara itv mm naona wewr umepaniki
Si rahisi kiasi hiki.Si rahisi Kikwete akubali CCM ipoteze dola mikononi mwake....kinana anamkakayi gani kuahinda wa lowasa uliomuweka jk magogoni...? laigwani kakamata kila kona ccm hawana pa kutokea. ana watu wa kuumpa taarifa kuanzia kata mpaka taiga, mkurugenzi wa uchaguzi wa ccm yupo chini ya laigwani, niambie kinana ananini kuvishinda hivi vichwa...?
Magamba vipi wakati gamba tumevua na mmelivaa nyiemagamba ndio mwisho wao
Mbinu zoote mwaka huu zitajulikana tuu...pipooooooz
CCM ife tu maana tumechoka!
Yaani hueleweki! Kwa niji usitulie ndo uandike vizuri!
Nimeshindwa kuelewa matukio haya matatu, mimi naona maji ya shingo kwa ccm mapema kabisa.
1. Inaonekana kabisa vyombo vya habari vimetishwa kwa kuiangalia ITV tu, wameambiwa watoe priority kwa ccm na ku-ignore za upinzani.
2. Ikiwa mwenyekiti wa ccm anasindikiza kuchukua fomu za mgombea, sijui itakuwaje mpaka october!
3. Suala zima la mgombea wa ccm kutokea kwenye TV akiongelea kuhusu kuipongeza ITV kwa ajili tu eti kipindi kizuri cha barabarani wakati kuna issues nyingi za kitaifa!
Nimehuzunishwa na strategists wa ccm, inaonekana strategists wamepaniki na ccm yote imepaniki.
HAPO NDIO KWANZA SAFARI YA MABADILIKO IMEANZA, NI TSUNAMI KUBWA INAWAKUMBA, WAMEPAGAWA.