CCM imelaaniwa - mhadhiri


Hiyo ya chadema itungiwe Wimbo safi sana!!!!!
 
Mkuu Bushiru Ally, angalia kibarua kisije ota nyasi, jamaa hawataki kusemwa hadharani kabisa!!


Bora kibarua mkuu, kwavile elimu anayo kichwani atapata kwingine.. issue ni kucha na meno yake, tena bila ganzi! Ila hongera kwa kuthubutu kuusema ukweli
 
Chadema ni nzuri, hata mimi naipenda sanaaa...nikiona minguo ya maccm ile ya kijani nahisi nimeona iziraeli mtoa roho za watu.
 
Yani neno "Laana" ni kali sana kulitumia kisa ni mpinzani wako kimawazo ,kimtazamo au kisiasa.Ni vyema tutafute maneno mengine ya kuyatumia ilihali heshima zetu tunaendelea kuzitunza
Kama na wewe huoni laana ya ccm basi una laana pia
 
CCM ina laana ya Mungu.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aliyesema haya maneno ni Bashiru huyu huyu au vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…