Hayo ni maneno machungu sana kwa mwanaCCM yoyote lakini ndio niliyoyasikia kutoka kwa kada mmoja mwandamizi wa CCM akiyasema kwa uchungu sana.
Alifafanua kwa kusema Chama ni WATU(Quality na Quantity), ITIKADI(Principle na Philosophy) na SERA(Vision na Mission). Kwa sasa CCM tuna watu wachache na hafifu sana kisiasa, hatuna itikadi yoyote( maana ujamaa tulishauzika kimya kimya) na miiko na maadili tulishayaacha(tuna-survive kwa fitna, Rushwa na ufisadi), Sera zetu hazina msaada wowote kwa mnyonge, maskini, mkulima au mfanyakazi. Tumebaki kuigaiga mambo ya wapinzani wetu na kupambana nao utadhani wao ndio chama tawala.
*MY TAKE
WanaCCM wenye uchungu na nchi yetu na chama chetu tunajifunza nini katika hili lakini wapinzani wetu mnalichukuliaje hili?
Alifafanua kwa kusema Chama ni WATU(Quality na Quantity), ITIKADI(Principle na Philosophy) na SERA(Vision na Mission). Kwa sasa CCM tuna watu wachache na hafifu sana kisiasa, hatuna itikadi yoyote( maana ujamaa tulishauzika kimya kimya) na miiko na maadili tulishayaacha(tuna-survive kwa fitna, Rushwa na ufisadi), Sera zetu hazina msaada wowote kwa mnyonge, maskini, mkulima au mfanyakazi. Tumebaki kuigaiga mambo ya wapinzani wetu na kupambana nao utadhani wao ndio chama tawala.
*MY TAKE
WanaCCM wenye uchungu na nchi yetu na chama chetu tunajifunza nini katika hili lakini wapinzani wetu mnalichukuliaje hili?