Angalau kingekufa tukajua kimezikwa lakini CCM haipo imeishafutika ndani ya mioyo ya watu....Ila kuna kitu kimoja ambacho huenda ukakutana nacho ,wale wanaoiba zaidi wanaweza wakakujia na kukupa kamilioni au kahamsini elufu au hata ishirini alfu ,uvae katishati au kakepu au hata upande lori uhudhurie mkutano ,ndugu usisitesite chukua kila kitu ila usiwe rahisi weka dau kubwa kidogo ,ndio wale unaowaona kwenye mikutani na utawakuta vikofia alimuradi hata jani la kijani mtu atabeba ,ujue keshachukua chake yupo hapo kutimiza wajibu. Utawaona wanacheza wanalukaluka na zaidi huwa hafurahii ccm wanasema nini yeye hufurahia muziki wa kuagwa na CCM.