CCM leo inatimiza miaka 36 baada ya kuzaliwa tar 5.2.2013.
Ninajiuliza ni hofu gani iliyokishika chama kilichokwisha kuvunja ungo kuogopa kufikisha siku ya kuzaliwa.
Wadau na wanaCCM naombeni mnisaidie hapa.
Wewe ndio walewale!!!!!!!!!!
Badala ya kusikiliza taarifa zilizotolewa na wahusika, wewe unatengeneza taarifa yako halafu unajiuliza swali kutoka kwenye taarifa hiyohiyo uliyotengeneza mwenyewe. Haya jijibu basi...
5.2 siku ya kazi watawasomba vipi wafanyakazi? So ccm ilizaliwa siku ya karibu na 5.2 na iwe weekend ili kupata wa kubeba ktk malori. Peoples power imeshawamaliza hawana jinsi tena wanakata roho
Kikwete anasema kuwa nawanachama wenye uelewa mdogo nijanga lakitafa,sasa wadau ni chama kipi cha siasa hapa tz katiya ccm na vyama vyaupinzani chenye wanachama wenye uelewa mdogo?
Wewe ndio walewale!!!!!!!!!!
Badala ya kusikiliza taarifa zilizotolewa na wahusika, wewe unatengeneza taarifa yako halafu unajiuliza swali kutoka kwenye taarifa hiyohiyo uliyotengeneza mwenyewe. Haya jijibu basi...
mi nimeshangaa leo napita mbezi mwisho barabarani foleni kubwaa kumbe wanafanya maandamano kusherekea kuzaliwa kwa maccm. nikakumbuka kuwa mbona ilizaliwa tar 5 feb 77?
viwanja vya wazi kibao eneo la mbezi mwisho lkn wameamua kufanyia barabarani pale kituo cha zamani cha daladala. wamesababisha foleni isiyo na msingi bure.
CHADEMA tuifanye siku ya tar 5.2 kuwa ni kumbukumbu ya nipe fagio la chuma ili kufagia m,afisadi.
kwa sababu wameitelekeza kwa hisia kuwa ndiyo ina nuksi na inasababishwa wachukiwe.
Wewe ndio walewale!!!!!!!!!!
Badala ya kusikiliza taarifa zilizotolewa na wahusika, wewe unatengeneza taarifa yako halafu unajiuliza swali kutoka kwenye taarifa hiyohiyo uliyotengeneza mwenyewe. Haya jijibu basi...
Ccm leo inatimiza miaka 36 baada ya kuzaliwa tar 5.2.2013.
Ninajiuliza ni hofu gani iliyokishika chama kilichokwisha kuvunja ungo kuogopa kufikisha siku ya kuzaliwa.
Wadau na wanaccm naombeni mnisaidie hapa.
wameamua kubadilika mwaka huu kwa sababu ccm wengi ni waajiriwa wameona ni bora wafanye sherehe weekend ili siku ya tarehe 5 ambayo itaangukia siku jumanne watu waende kazini kama kawaida. nawasifu kwa hili kwa kuamua kuijenga nchi kwa vitendo.
"Kuzaliwa kwa chama kipya tarehe tano mwezi wa pili sabini na saba ehee mungu kipe baraka" nimenukuu wimbo ambao nilikuwa nausikiliza wakati mdogo iweje magamba wanasherekea tar 3? Maumivu ya kichwa uanza taratibu