Sina mahusiano makubwa na siasa za CCM ila nimehakikishiwa kipande hiki kweli kimetokea. Cha ajabu ni kwamba maslahi ya Wananchi na kuliweka Taifa kwanza zinaitwa ni sera za Upinzani... Hapo mishipa ya akili imesimama, sijui niseme nini kuhusiana na CCM..
Hapana ccm ni chama makini kama kilivyo chadema cuf nk Ila kuna watu ndani ya vyama hivyo kuna mifisadi tu .
Huwezi sema chadema ama SLAA ama ZITTO ndio kaanzisha hii move nenda nyuma kidogo uone nani alisababisha IDD SIMBA kujiuzulu,nani alisababisha Mbilinyi kama sikosei waziri wa fedha kujiuzulu na kwa sababu zipi?
Nakumbuka enzi hizo ilikuwa ni SKENDO akina Dr SLAA wao wameiita MAFISADI.Huwezi kabisa ku hadaa watu kwa kusema uvumbuzi wa uovu umeanzishwa na chadema .Sema kweli hili la EPA ndilo limeshkiliwa bango na SLAA.
Hizi juhudi ktk hili kuna jamaa wanalichukulia ili kupata umaarufu kisiasa kitu ambacho kipo tu enzi na enzi.
Hili la Tarime ccm kushindwa wala msilichukulie eti ndio mwanzo wa ukombonzi NEVER tumeona akina MREMA wakibebwa ,gari lao likisukumwa .tuambieni ukweli wakati wa MREMA na saizi CHADEMA ni wakati upi watanzania walipenda upinzani??
Pia tuambiane wakati Mrema ana wabwaga CCM temeke napo tutasema vipi?
Tatizo letu tunapenda kuzidaganya akili zetu kwa vitu vidogo kuwa vikubwa .
Ukombozi unahitajika LAkini si kwa viongozi wa vyma vilivyopo
Ulichoandika hapo ni playbook ya ccm..No doubt ni mazingira yaliyowafanya wabweteke....Kuweza kujustify kuwa eti hakuna viongozi wazuri kwenye upinzani simply kwasababu ya mifano uliyoitolea.
Lakini trust me kama hawa watu wakija pamoja na kuchapa kampeni makini...This time ccm mtabwagwa.
Siasa zinabadilika ndugu yangu na uchumi wa dunia unakoelekea ni wazi upepo unafavor mabadiliko.
Watu washachoshwa duniani kote...Wamechoshwa na ufisadi kiasi cha kwamba ile michezo ya kisiasa ya zamani ambayo mingi ni michafu ita backfire vibaya na mambo yanaweza yakawa si mazuri to the status quo.
Mkamap ulichosema ndio udhaifu ambao wamekuwa wakiutumia ccm...Je will it work this time around?
It remained to be seen...One thing for sure is PEOPLE ARE TIRED WITH THE SAME OL POLITICS.
....CCM ILIMUUA WANGWE ILI KUUZUBAISHA UMMA NA KUZIMA HOJA NA VITA DHIDI YA UFISADI,vita inayoongozwa na VIONGOZI WA CHADEMA.
Siku si nyingi Mungu ataufunulia umma ni jinsi gani ofisi ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania (kwa maelekezo/shinikizo la makamba na lowassa) pamoja na ndugu wa kuzaliwa wa Chacha Wangwe hasa Profesa Samwel Wangwe na Peter Wangwe walivyoshiriki katika kufanikisha mauti ya ndugu yao wa damu kwa maslahi ya mafisadi ili kuzima mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi na maslahi yao binafsi(wamepokea vijisenti kadhaa ili waseme ccm haihusiki bali chadema).
Mod aangalie sana hawa watu awape flag fulani ili tukijua comments imetoka kwa mtu fulani tujue lengo lake ni lipi hata kabl ay akusoma comments
Mbatia used to be a good politician sijui nini kimembadilisha huyu mtu..Nafikiri most of it is jokeying for power.
Mrema alisimamisha mgombea wake Tarime?
Mgirima unaweza kutueleza ni kwa kivipi habari hii ime expire kwa standard yoyote ile? I mean in whatever means and forms or even terms.
Uko free hapo kutumia vigezo vyovyote unavyovitaka ili kunishawishi ama kuonyesha ushahidi kuwa ime "Expire"
Nafikiri humu ndani ya Jamii forum bado team ile ya mafisadi imo inafanya kazi; habari mhimu ktk mjadala tunaziua kwa visingizio vya expiry nk; kama ni nhivyo hata hotuba za nyerere ni expired, hata aliyofanya Mkapa ni expired; nafikiri kuna dharau humu ndani either kwa kutokujua au kwa kujua na hii tusipoiangalia itatupeleka pabaya; Mod aangalie sana hawa watu awape flag fulani ili tukijua comments imetoka kwa mtu fulani tujue lengo lake ni lipi hata kabl ay akusoma comments; itakuwa rahisi kwa watu serious kuendelea na mjadala mhimu; mie nimepata msg nyingi za aina hii naamini ni uzalendo watu unawasumbua na hiyo ni mhimu sana mali zao zinaibwa; watasema nini kwa watoto wao?
Hapana ccm ni chama makini kama kilivyo chadema cuf nk Ila kuna watu ndani ya vyama hivyo kuna mifisadi tu .
Huwezi sema chadema ama SLAA ama ZITTO ndio kaanzisha hii move nenda nyuma kidogo uone nani alisababisha IDD SIMBA kujiuzulu,nani alisababisha Mbilinyi kama sikosei waziri wa fedha kujiuzulu na kwa sababu zipi?
Nakumbuka enzi hizo ilikuwa ni SKENDO akina Dr SLAA wao wameiita MAFISADI.Huwezi kabisa ku hadaa watu kwa kusema uvumbuzi wa uovu umeanzishwa na chadema .Sema kweli hili la EPA ndilo limeshkiliwa bango na SLAA.
Hizi juhudi ktk hili kuna jamaa wanalichukulia ili kupata umaarufu kisiasa kitu ambacho kipo tu enzi na enzi.
Hili la Tarime ccm kushindwa wala msilichukulie eti ndio mwanzo wa ukombonzi NEVER tumeona akina MREMA wakibebwa ,gari lao likisukumwa .tuambieni ukweli wakati wa MREMA na saizi CHADEMA ni wakati upi watanzania walipenda upinzani??
Pia tuambiane wakati Mrema ana wabwaga CCM temeke napo tutasema vipi?
Tatizo letu tunapenda kuzidaganya akili zetu kwa vitu vidogo kuwa vikubwa .
Ukombozi unahitajika LAkini si kwa viongozi wa vyma vilivyopo
Hapana ccm ni chama makini kama kilivyo chadema cuf nk Ila kuna watu ndani ya vyama hivyo kuna mifisadi tu .
Huwezi sema chadema ama SLAA ama ZITTO ndio kaanzisha hii move nenda nyuma kidogo uone nani alisababisha IDD SIMBA kujiuzulu,nani alisababisha Mbilinyi kama sikosei waziri wa fedha kujiuzulu na kwa sababu zipi?
Nakumbuka enzi hizo ilikuwa ni SKENDO akina Dr SLAA wao wameiita MAFISADI.Huwezi kabisa ku hadaa watu kwa kusema uvumbuzi wa uovu umeanzishwa na chadema .Sema kweli hili la EPA ndilo limeshkiliwa bango na SLAA.
Hizi juhudi ktk hili kuna jamaa wanalichukulia ili kupata umaarufu kisiasa kitu ambacho kipo tu enzi na enzi.
Hili la Tarime ccm kushindwa wala msilichukulie eti ndio mwanzo wa ukombonzi NEVER tumeona akina MREMA wakibebwa ,gari lao likisukumwa .tuambieni ukweli wakati wa MREMA na saizi CHADEMA ni wakati upi watanzania walipenda upinzani??
Pia tuambiane wakati Mrema ana wabwaga CCM temeke napo tutasema vipi?
Tatizo letu tunapenda kuzidaganya akili zetu kwa vitu vidogo kuwa vikubwa .
Ukombozi unahitajika LAkini si kwa viongozi wa vyma vilivyopo
Wakili,
Waswahili husema lisemwalo lipo, kama halipo laja.
Ukiangalia hiyo listi ya watetezi na walinzi wa mafisadi, hata Rais wetu yupokatika kundi hili na linakuja swali kubwa iweje yeye kama Rais, Amiri Jeshi mkuu na Mwenyekiti wa Chama Tawala awe chini ya shinikizo la hawa Wahujumu maarufu kama Mafisadi?
Wale wote walio viongozi wa ama CCM au Serikali wanawaogopea nini hawa Mafisadi? Ni lini tutapata Gorbachev wetu tuondokane na huu upuuzi wa kutawaliwa na "Wazungu Weusi"?
Hapa ndipo utaona kuwa Azimio la Arusha na miiko yake ililenga kuondokana na Tanzania kufikia hapa tulipo!
Ukiwa unatakiwa ndani ya chama hata ukiua utabakia ndani ya chama!na ikitokea kuna watu wanataka wakuwajibishe wakubwa ndani ya chama watamtetea "mwenzetu" ila ukiwa hutakiwi na ikionekana kama wewe u kikwazo kwa maslahi yao hata kama hauna hizo skendo unazosema utaundiwa! Unakumbuka yaliyomkuta aliye wahi kuwa mkuu wa mkoa wa Tanga, Mkurugenzi mkuu wa usalama wa Taifa na mbunge wa Makete Dr Hans Kitine?Watu walio ona mbali (Sumaye na kundi lake) waliona kuwa angekuwa ni tishio kwao ndio maana wakaunda mkakati na kufukua "maiti" iliyo kufa tangu alipo kuwa mkuu wa mkoa wa Tanga! na akaachia ngazi! Na tunawajua wengi ambao wamefanya maovu yasiyoelezeka yanayochangia ugumu wa maisha tulionao lakini wanadunda ndani ya chama kwenye CC NEC na kamati mbalimbali!Chenge aliyekuwa AG wa serikali ya awamu ya tatu ndie aliefanikisha mikataba ya ubinafsishaji wa NBC na mashirika mengi tu kwa maslahi yake na ya mabwana zake ataendelea kuwepo CCM na ili mjue hilo ndio maana aliteuliwa kwenye tume ya kufatilia mkataba wa UVCCM. Mkiambiwa CCM ina wenyewe mjue ni kina nani!sio wewe wala kina Idd Simba!
Hata CHADEMA ina wenyewe mkiambiwa hamtaki kuliona hilo.
Nikuulize maswali mawili tu ukiyajibu tutaendelea vizuri.
1.Kwanini marehemu wangwe alisimamishwa umakamu m/kiti chadema?
2. Na baada ya kifo chake risala ya chadema ilisema nini kuhusu marehemu wangwe?
Mushi, kuna njemba zimeibuka siku za karibuni kutetea kwa kila hali uongozi mbovu wa JK, tutakula nao sahani moja maana wakati wa kuendelea kutuzuga na Watanzania kunyamaza kimya umeshapita miaka mingi sana.
Ndugu wadau,
Hivi karibuni nimepata kupokea ujumbe huu kwenye inbox yangu toka kwa watu tofauti tofauti,nikatafakari yale yaliyomo na yale tunayojadili hapa jf,nikahisi kwamba labda kuna kuna uhalsia fulani au sio na hivyo bora uje hapa jamvini kuona kama kuna hoja yoyote inayoweza kujengwa au kama ulishajadiliwa mod atajua au la lakini kaa hali ya watu kutumiwa ndiyo hii basi mambo yanakokwenda si kuzuri kabisaaa. Ujumbe wenyewe umekuja kama hivi,na mimi hapa nanukuu kaa ulivyo
usichoke soma mpaka mwisho!!!
..................................Mungu ameendelea kutuonesha kuwa tunaongozwa na mafisadi ambao wanatumia hata watumishi wa Mungu(Mtikila) kufanya kazi ya shetani.Mafisadi wameviza hata dhamira za wenye sauti katika jamii kiasi kwamba inawalazimu watu wanyonge wajitetee wenyewe kwani mfumo wa sheria nao umewekwa mikononi mwa watumishi wafu kiroho na kimaadili.
Baadhi ya walioaminika hapo kabla sasa ni wasemaji na watetezi rasmi wa mafisadi mfano James Mbatia,Dr.Sengodo Mvungi,Profesa Samwel Wangwe,Deusi Ngowi,Robert Manumba,Venance Tossi,Deodatus Balile,nk. Hawa ni watetezi wapya wa mafisadi mbali na wale watetezi wa mafisadi tuliowazoea(Yusufu Makamba,Pius Msekwa,Jakaya Kikwete,Emmanuel Nchimbi,Benno Malisa,Francis Isaac,Peter Serukamba,John Komba,Hiza Tambwe,Thomas Ngawaiya,Salum Msabaha,Paul Kyara,Peter Kisumo,Omari Mahita,nk)
Mungu amewatumia wananchi wazalendo wa Tarime kuuonesha umma kuwa kuwahadaa watu wazima ni vigumu hasa pale wanapojua mambo yanavyokwenda.
MUUAJI WA CHACHA WANGWE NI NANI?Waulize wazalendo wa Tarime watakuambia sio tu kwa neema na uwezo wa Mungu bali pia kwa sababu WANAUSALAMA WENGI WA TANZANIA WANATOKEA mkoani Mara hususani TARIME na SERENGETI na waliwaeleza watu wao wa karibu kilichotokea mapema hata kabla ya kifo hicho kujulikana kwa umma wa watanzania wote....CCM ILIMUUA WANGWE ILI KUUZUBAISHA UMMA NA KUZIMA HOJA NA VITA DHIDI YA UFISADI,vita inayoongozwa na VIONGOZI WA CHADEMA.
ZITTO ALIKUWA AUAWE KIPINDI KILE CHA MJADALA WA AKUBALI au AKATAE UTEUZI KTK TUME YA MADINI AU ASIKUBALI LAKINI ILISHINDIKANA KWANI TAJETI ILIKOSEWA NA IKALENGA ASIYEKUSUDIWA YAANI SALOME MBATIA Mungu ameendelea kudhihirisha utukufu wake kwa kupandikiza uelewa ndani ya wakazi wa Tarime ambao umekuwa ni silaha ya kuwaumbua mafisadi na vibaraka wao wote.
Siku si nyingi Mungu ataufunulia umma ni jinsi gani ofisi ya bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania (kwa maelekezo/shinikizo la makamba na lowassa) pamoja na ndugu wa kuzaliwa wa Chacha Wangwe hasa Profesa Samwel Wangwe na Peter Wangwe walivyoshiriki katika kufanikisha mauti ya ndugu yao wa damu kwa maslahi ya mafisadi ili kuzima mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi na maslahi yao binafsi(wamepokea vijisenti kadhaa ili waseme ccm haihusiki bali chadema).Haya yote yapo katika mpango ujulikanao kama OVUCHACHA-OPL yaani operesheni vuruga na chafua chadema – safisha lowassa.MAKAMBA AKIBANWA ATAELEZA ALIKOIPATA MKOBA NA LAPTOP YA MAREHEMU CHACHA WANGWE ILIYOPOTEA SIKU YA TUKIO
Tume ikiundwa haya yatajulikana na wahusika wote watajulikana na umma utashangaa ilikuwaje.
Spika Sitta na Naibu Spika Makinda walitishwa kuwa wasipotoa ushirikiano CCM-NEC itaitishwa ili kuwang'oa kwani inaonekana wanawasaidia wapinzani kung'ara katika siasa za Tanzania huku wakiififisha CCM.Tuendelee kusubiri na kujionea jinsi matendo makuu ya mungu yatakavyojidhihirisha siku za usoni.
Naipenda Tanzania!Naipenda Afrika
Asante na ubarikiwe kama nawe ni mzalendo uipendayo Tanzania kwa dhati na uko tayari kuilinda isiangamizwe na mafisadi
Hiyo risala I real dont know nataka kukumbusha kuwa kabla ya kifo chake kulikuwa na harakati za yeye Wangwe kuhamia CCM na waraka wake ulitumwa kwa Fax a day before the scene. Fax ilitumwa kutoka CCM makao makuu dodoma ofisi ya katibu mkuu kwa uhakika zaidi wasiliana na Makamba atakumegea na sie utujuze.
Hiyo sababu ni muendelezo wa propaganda za CCM na Marehemu alikuwa akitumiwa. Mie nitakuomba ujaze makabila ya viongozi wa Chadema katika nafasi zilizo achwa n a mikoa wanaotokea.then tutaenda sawa.
1. Freeman Mbowe _____________________
2.Dr Wilbrod Slaa _____________________
3.Zito Z. Kabwe _____________________
4.Tundu Lisu _____________________
5.John Mnyika _____________________
Huu sio wakati wa siasa za magogoni mkuu.
PS.
I declare my interst on Chadema.
Mimi si mwanachama wa Chadema sina kadi ya uanachama wa chama chochote ila ni mtu mwenye kupenda siasa za upande wa upinzani na ninavifeel vyama viwili tu hapa Tanzania navyo ni CUF na Chadema na mie si mchagga wala mpemba shauri yenu msiotaka kuona na ilihali mana macho!