Nawakumbusha ccm kama ya leo hamjaiandika tafuteni kalamu.Nangole wa Arusha kawapungia mkono wa kuwaaga kisha akahaidi wasaidizi wake saba hawajapata nauli ya kuja Dsm.Amehaidi kuwakabidhi kwa Ngoyai sku akitia timu Arusha.Nawaauliza tena ccm,hii nayo mmekumbuka kuiandika?