GE2025 CCM heshimuni kura za wajumbe Arumeru Magharibi

GE2025 CCM heshimuni kura za wajumbe Arumeru Magharibi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

fisi 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
3,284
Reaction score
4,652
Dr. Lukumayi ndie ameshinda kura za maoni kwa asilimia 61 (61%). Mgombea Noel Severe amepata 18% ila Severe anajinadi kuwa ndie atakaepitishwa hata kama ameshindwa kwa sababu yeye ndie anaetakiwa na Mh Rais na CCM Taifa. Tunajua Nguvu ya Chama kupata viongozi na tunaheshimu ila tunajua zaidi matarajio ya wananchi.

CCM Wilaya, Mkoa na Taifa tunaowaomba sana msije mkajidanganya au kudanganywa. Sisi wananchi tusipoona jina la Dr. Lukumayi kwetu tunasema tutamwaga damu. Jina lolote litakalorudi tofauti na Dr. Lukumayi tutazamisha mtoni.

Na nyinyi mliopewa dhamana ya kuchambua majina mjue wananchi wameashaamua kupitia wajumbe wao. Tafadhali HESHIMUNI Kura zetu. Tofauti na hapo tunajua mnapoishi, tunajua mnapokula tunajua maisha na njia zenu zote tusilaumiane hapo mbele sababu ya mtu mmoja asie na maadili SEVERE. Hatakiwi kabisa na kura zimesema.

Noel Severe usijisumbue wewe ni mwepesi kuliko kaa tulia hukujipanga hata kidogo. Uliendekeza chuki na majungu wenzako waliotia nia wakatwe. Wanachi walimtaka Elias Lukimayi. Wewe ukafanya yote amabyo tunayajua akakatwa. umeona majibu ya wananchi kwako. ulikua unadharau wananchi na hasa wajumbe. asilimia 70 ya madiwani waliomaliza muda wao uliwadharau waziwazi na hata kuwatukana kwa kejeli. UMEVUNA ULICHOPANDA. Sasa kaa kimya kabisa.

KAMATI ZA SIASA MPAKA KAMATI KUU sikilizeni Wajumbe na Wananchi wa Arumeru Magharibi heshimuni kura zao.

VIVA VIVA VIVA CCM - KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE.
 
Sauti za wananchi katika kura za maoni juu ya yule wanayemtaka wana jimbo ziheshimiwe bara na huko Zanzibar.
 
Wajumbe wa darasa la Saba wanajua nini hao unaandika vitisho kibao kisa ubunge
 
Kama juu hakuna heshima.. Huku chini sahau
Maamuzi ya kamati kuu ni ya MWISHO/
Katiba ya kitaifa na katiba za vyama, vya siasa hata saccos,wajumbe mnapotimia kikamilifu mna kila mamlaka,lakini katiba ambayo hupitishwa na bunge ndiyo haigusiki mpaka vikao halali vya bunge!
 
Dr. Lukumayi ndie ameshinda kura za maoni kwa asilimia 61 (61%). Mgombea Noel Severe amepata 18% ila Severe anajinadi kuwa ndie atakaepitishwa hata kama ameshindwa kwa sababu yeye ndie anaetakiwa na Mh Rais na CCM Taifa. Tunajua Nguvu ya Chama kupata viongozi na tunaheshimu ila tunajua zaidi matarajio ya wananchi.
CCM Wilaya, Mkoa na Taifa tunaowaomba sana msije mkajidanganya au kudanganywa. Sisi wananchi tusipoona jina la Dr. Lukumayi kwetu tunasema tutamwaga damu. Jina lolote litakalorudi tofauti na Dr. Lukumayi tutazamisha mtoni.
Na nyinyi mliopewa dhamana ya kuchambua majina mjue wananchi wameashaamua kupitia wajumbe wao. Tafadhali HESHIMUNI Kura zetu. Tofauti na hapo tunajua mnapoishi, tunajua mnapokula tunajua maisha na njia zenu zote tusilaumiane hapo mbele sababu ya mtu mmoja asie na maadili SEVERE. Hatakiwi kabisa na kura zimesema.
Noel Severe usijisumbue wewe ni mwepesi kuliko kaa tulia hukujipanga hata kidogo. Uliendekeza chuki na majungu wenzako waliotia nia wakatwe. Wanachi walimtaka Elias Lukimayi. Wewe ukafanya yote amabyo tunayajua akakatwa. umeona majibu ya wananchi kwako. ulikua unadharau wananchi na hasa wajumbe. asilimia 70 ya madiwani waliomaliza muda wao uliwadharau waziwazi na hata kuwatukana kwa kejeli. UMEVUNA ULICHOPANDA. Sasa kaa kimya kabisa.
KAMATI ZA SIASA MPAKA KAMATI KUU sikilizeni Wajumbe na Wananchi wa Arumeru Magharibi heshimuni kura zao.

VIVA VIVA VIVA CCM - KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE.
Mwenye matokeo ya Arumeru mashariki pleas coment hapa niyazoom.
 

Kwenye 4R za Mama huyu anakosa ipi?
 
Huyu Noel severe mtoto wa masaki ndio anawajambisha wajumbe. Konnection na pesa ya baba yake ndio inaenda kumpa ubunge.

Bora angemuaachia dada yake Rutty ndio agombee
 
Huyu Noel severe mtoto wa masaki ndio anawajambisha wajumbe. Konnection na pesa ya baba yake ndio inaenda kumpa ubunge.

Bora angemuaachia dada yake Rutty ndio agombee
Basi atarudio Masaki akiimbiwa sio kwa Arumeru Magharibi .
 
Back
Top Bottom