figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Nyie mumetuharibia nchi yetu kwa kuendekeza rushwa ubadhilifu na upendeleo.
Tukisema tuwaelimishe watu vijijini mnawambia wasitusikilize eti sisi ni wapinzani hata kama kitu kinacho ongelsio siasa,na wao kwa sababu mliwanyima elimu wanakubali.
Nawaomba muache kuwapotosha wananchi, acheni kutumia polisi kama kiungo cha ccm. Tuacheni tuende vijijini vijijini tukawambie wenye nchi kwamba nchi CCM imewashinda na wameikabidhi kwa matajiri na wageni.
Mia
Tukisema tuwaelimishe watu vijijini mnawambia wasitusikilize eti sisi ni wapinzani hata kama kitu kinacho ongelsio siasa,na wao kwa sababu mliwanyima elimu wanakubali.
Nawaomba muache kuwapotosha wananchi, acheni kutumia polisi kama kiungo cha ccm. Tuacheni tuende vijijini vijijini tukawambie wenye nchi kwamba nchi CCM imewashinda na wameikabidhi kwa matajiri na wageni.
Mia