Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Magufuli alitangazwa mshindi jana.Lakini cha kushangaza na kujiuluza jana sikuona shamrashamra mitaani.Hata kama zilikwepo sio kwa kiwango kile kilichotarajiwa kama ilivyokuwa kwa JK 2005
Lakini siku moja baada ya kutangazwa.Yani leo tarehe 30 kila sehemu naona ccm waki celebrate najiuliza,Jana hawakuamini JP kashinda?Au ni utaratibu wa kushangilia ushindi 2015 kushangilia ki digital.Tubadilishane uzoefu.
Lakini siku moja baada ya kutangazwa.Yani leo tarehe 30 kila sehemu naona ccm waki celebrate najiuliza,Jana hawakuamini JP kashinda?Au ni utaratibu wa kushangilia ushindi 2015 kushangilia ki digital.Tubadilishane uzoefu.