CCM walipanga kurusha uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa arumeru live kupitia STAR TV, imethibitila imeshindikana. Kushindikana huku pamoja na kuwa mmiliki wa kituo hicho ni kada wa ccm kunatokana na sababu nyingi za kibiashara lakini kubwa ni kuwa ccm haibebeki.
Inasemekana mara nyingi ccm wamekuwa wakitumia shuruti za chama tawala kwa kutaka mara kadhaa matukio yao yarushwe bure. Pamoja na hilo, makada wengi, wafanyabiashara na hata wananchi wa kawaida wengi wamechoka kujitolea kukisaidia chama hicho kwa vile hakina mvuto tena, kitu ambacho kinatoa tafsiri ya anguko la ccm muda si mrefu.
Inasemekana mara nyingi ccm wamekuwa wakitumia shuruti za chama tawala kwa kutaka mara kadhaa matukio yao yarushwe bure. Pamoja na hilo, makada wengi, wafanyabiashara na hata wananchi wa kawaida wengi wamechoka kujitolea kukisaidia chama hicho kwa vile hakina mvuto tena, kitu ambacho kinatoa tafsiri ya anguko la ccm muda si mrefu.