CCM fungueni macho


Sasa utabishana nn wakati unajua tembo wanauwawa na katibu mkuu wako, viwanda mmeua, umeme shida, n.k. Dawa yenu mpaka ss ni ndogo sna, kutibua mbinu zenu za kuiba kura bac.
 
Lowassa, UKAWA mpango wa MUNGU...!!!

Siku hizi hadi VIWANJA vya Mpira, maharusini, masokoni, viwandani, mashambani, vijijini, mijini, vyuoni, mashuleni, kila sehemu ni.

MABADILIKOOOOOOOOOOOOO.... LOWASSAAAAAAAA......

Lowassaaaaaaaaaa..... Mabadilikooooo...


Yaani hakuna mtu anataka kuisikia CCM...!!

Wananchi 95% wamegundua ADUI YAO NI CCM.... CCM ishakufa..!!!

CCM out...!!!
 

Lowassa Mpango Wa Mafisadi Yeye Mwenyewe Akiwa Ndo Rais Wao "fisadi Papa" Hence Proved.....
 
Sijapata nafasi ya kusafiri kwenda mikoa ya kusini naagharibi lakini huku Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Kagera ni 90% UKAWA! Kila mtu ni Lowasa ndo rais

Wanataka kuwaaminisha watu kuwa ccm bado inapendwa na watu na sio kuhitajika na watu.Lengo siku ya kupiga kura wachakschue bila sinto fahamu.
 
Sasa utabishana nn wakati unajua tembo wanauwawa na katibu mkuu wako, viwanda mmeua, umeme shida, n.k. Dawa yenu mpaka ss ni ndogo sna, kutibua mbinu zenu za kuiba kura bac.

Ndomaana tunasema MAGUFULI FOR CHANGE...
 
We wacha wajipe moyo..??watu weshafanya maamuzi ...hata iwe nini...wao na ukawa tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…