CCM chunga haka kamchezo ka UKAWA, CHADEMA na Slaa

CCM chunga haka kamchezo ka UKAWA, CHADEMA na Slaa

Ngoshanyi

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2013
Posts
2,449
Reaction score
683
Napenda kuwatahadharisha Chama tawala kutahadhari na hawa Mafia wa CHADEMA kuhusu kupotea ghafla kwa Slaa kwenye hadhara muhimu za matukio ya CHADEMA.

Huu ni mpango mahsus umepangwa kati ya Slaa na CHADEMA.kuna kamtego hapo mkiingia kichwakichwa mtaumbuka.

Huyu mzee ni mzushi na muongo, msihangaike naye, mnadini Magufuli mbele kwa mbele.
 
Napenda kuwatahadharisha Chama tawala kutahadhari na hawa Mafia wa Chadema kuhusu kupotea ghafla kwa Slaa kwenye hadhara muhimu za matukio ya Chadema. Huu ni mpango mahsus umepangwa kati ya Slaa na Chadema.kuna kamtego hapo mkiingia kichwakichwa mtaumbuka. Huyu mzee ni mzushi na muongo, msihangaike naye,mnadini Magufuli mbele kwa mbele

Mbowe lazima awakimbize mchakamchaka mwaka huu
 
Napenda kuwatahadharisha Chama tawala kutahadhari na hawa Mafia wa Chadema kuhusu kupotea ghafla kwa Slaa kwenye hadhara muhimu za matukio ya Chadema. Huu ni mpango mahsus umepangwa kati ya Slaa na Chadema.kuna kamtego hapo mkiingia kichwakichwa mtaumbuka. Huyu mzee ni mzushi na muongo, msihangaike naye,mnadini Magufuli mbele kwa mbele

Huyo anaangaika ccm ni chama kinachoendeshwa kwa umakini na utaratibu wa hali ya juu we unafikiri haje nani wa chadema mwenye ushawishi katika chama ahame aje ccm hata ubaloz wa nyumba kumi hapewi huku ccm ni chama chenye misingi na kanuni zinazoeleweka hakikurupuki mkuu
 
Nyie mafisadi mtajibeba na huyo makomeo wenu. Kama ni umafia mliuanza wenyewe sisi tunakamilisha tu
 
Huyo anaangaika ccm ni chama kinachoendeshwa kwa umakini na utaratibu wa hali ya juu we unafikiri haje nani wa chadema mwenye ushawishi katika chama ahame aje ccm hata ubaloz wa nyumba kumi hapewi huku ccm ni chama chenye misingi na kanuni zinazoeleweka hakikurupuki mkuu

Kikibaki pekee bila Polisi, usalama na nguvu ya mamlaka/dola kitakuwa na umakini na utratibu wa hali ya juu bado?
 
CCM inaporomoka kwa kasi sana na hakuna kizuizi mbele yake. Nape anapigana na Membe, Wassira anapiga mtu, Lugola naye--
 
Ngoja lowasa atuletee information nzuri ya chadema ili ccm tujue tuwamalizie wapi lowasa tumemtuma ccm kama hamumjui na mpaka mje mjue mmekwisha kabisa mtabaki kuangaliana kumjua mchawi nani wakati cc tunachukua inchi kwa awamu nyingine
 
Hakuna kukaribishana,kila mtu ana uhru wa kugombea ndio maana unaona hiyo vita. nyie hamna kwenu kuna amri ya Mtei
 
Back
Top Bottom