CCM chali Rorya!

Yaani siku hizi hata kwenye taasisi za kitaaluma kuna uvyama? Wow....That's really bad. Unfortunately, Ile dhambi ya kuwabagua watu kwa itikadi zao kwenye chama fulani sehemu za kazi nafikiri ndiyo imesababisha haya yote.
Pole Tanganyika.
 

Mkuu,

Siasa ni kila kitu. Nakupa mfano, nilipogombea uwaziri mkuu DARUSO miaka hiyo sikuajua vyama hasa ccm ilikuwa na mkondo wake. Chadema kupitia katiba yake inawaandaa vijana kuanzia miaka 14, then imejita ktk taasisi mbalimbali ikiwamo hiyo tajwa hapo juu. Zinduka! Hiyo ndo siasa endelevu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…