Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Ingekuwa CCM ndio maendeleo basi Dodoma ingekuwa juu sana maana hawajawahi kuipigia upinzani kuraMkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Ni maendeleo ya kuigwa kama Mungu amewajalia CDM na siku hizi wanaruhusiwa kutumia mabomu ya machozi kwangu mimi haya ni maendeleo makubwa sana, tunashukuru kwa kutujuza hilo mkuu!Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?
Mkoa wa Arusha sasa utaporomoka jumla kimaendeleo.
Arusha mjini hali ni hiyo, hata watalii siku hizi wamepungua sana sababu ya Chama cha Demokrasia na Maandamano.
Kama Meru ndo imeingia kwenye himaya yao, basi tujue tumekwisha. Hatujawahi kupigwa mabomu, leo uhuni wa Mjini Arusha umehamia kwetu.
Laana gani imewapata vijana wa Meru na kuchagua chama cha shari?